kama mmependana hakuna tatizo.
Je upo tayari kulea mtoto wa mwenzio? Kwa upendo wote, kuwafunza maadili mema?
Huyo dada umri unaruhusu akuzalie watoto(kama mtaoana mkabarikiwa)
baba wa hao watoto wana uhusiano gani na huyo dada? Usije penda hapo ukakuta wenza wa mwanzo full drama, au wanamegana kwa siri.
Kumbuka ukipenda boga penda na ua lake.
1. Nina tabia ya kupenda watoto hivyo kulea watoto wa mwenzangu si
tatizo
2. Umri wake unaruhusu kuzaa mtoto mwingine
3.Uhusiano wa baba watoto wake ni mbaya sana kwani alikuwa anamtesa
walipokuwa pamoja na hili mimi ni shuhuda kwani siku ya kwanza kumfahamu huyu
dada alipigwa na mumewe hadi kupoteza fahamu baada ya kumfumania na mwanamke mwingine kwa
kushirikiana na dada wa mwanamke tukampeleka hospitali. Alifikiri amemuua hivyo alitoroka
na kwenda kusikojulikana kwa miezi sita. Amerudi hivi karibuni baada ya kusikia yule
mwanamke yuko hai. Mtoto wa kiume yuko kwa ndugu wa mwanaume.
Kama kuna wakati nimeomba ushauri nikiwa serious basi leo ni zaidi. Siku nyingi nimekuwa
nikitafuta mwenza wa kuishi naye katika maisha lakini imekuwa ni kazi ngumu kutokana na
sababu mbalimbali ambazo siwezi kuzieleza zote.
Kitu ambacho kinanifanya niombe ushauri kwa sasa ni kuwa kuna Dada ambaye nimempenda
kutokana na tabia yake. Kinachonitatiza ni kuwa tayari ana watoto wawili. Nataka kujua kutokana
na uzoefu wenu kwani mimi sina mtoto hata mmoja.
Je kuna matatizo yoyote naweza kukabiliana nayo kwa kumuoa mwanamke ambaye tayari ana
watoto 2.
Naomba wenye ushauri wanisaidie!
kama mmependana hakuna tatizo.
Je upo tayari kulea mtoto wa mwenzio? Kwa upendo wote, kuwafunza maadili mema?
Huyo dada umri unaruhusu akuzalie watoto(kama mtaoana mkabarikiwa)
baba wa hao watoto wana uhusiano gani na huyo dada? Usije penda hapo ukakuta wenza wa mwanzo full drama, au wanamegana kwa siri.
Kumbuka ukipenda boga penda na ua lake.
pia ajipange kutoa huduma sawa kwa watoto atakaozaa na wa huyo mama. Kuwa baba wa watoto zaidi ya wawili kwa wakati mmoja si jambo dogo kama hatokuwa njema kiuchumi.
Kama kuna wakati nimeomba ushauri nikiwa serious basi leo ni zaidi. Siku nyingi nimekuwa
nikitafuta mwenza wa kuishi naye katika maisha lakini imekuwa ni kazi ngumu kutokana na
sababu mbalimbali ambazo siwezi kuzieleza zote.
Kitu ambacho kinanifanya niombe ushauri kwa sasa ni kuwa kuna Dada ambaye nimempenda
kutokana na tabia yake. Kinachonitatiza ni kuwa tayari ana watoto wawili. Nataka kujua kutokana
na uzoefu wenu kwani mimi sina mtoto hata mmoja.
Je kuna matatizo yoyote naweza kukabiliana nayo kwa kumuoa mwanamke ambaye tayari ana
watoto 2.
Naomba wenye ushauri wanisaidie!