Wenye dhambi nzito tukutane hapa

Mimi ntaenda MBINGUNI moja kwa moja kama MBINGU ipo,wewe hata ukitubu lazima adhabu ya duniani ikuijie
 
Mhhh me nina dhambi Ila ww kaka mhhh hapana aiseh .... Jitahid utubu
 
Wewe ni IBILISI
hupaswi kuandika chochote JF,utainajisi hii platform
 
Jamaa umeua watu watatu
 
Matukio aliyoandika yote sidhani kama yana ukweli na yeye sio mjinga kuja kuweka ushahidi wote hadharani hata kama hatumtambui kwa sura wala kuwa na details zake.

Sababu anatambua kuwa JF wanaweza saidia police kupata taarifa zake hadi alipo kwa kutu-trace IP address yake.


Kwa hiyo muache kutokwa na mapovu na kujiona nyie ndio Watakatifu msio na madhambi. Na mkumbuke dhambi zote ni sawa mbele ya Muumba wetu isipokuwa dhambi ya kumkana Roho Mtakatifu.
 
Mimi bado sina dhambi ngoja nikifanikiwa kuipata dhambi ntakuja kusimulia
 
Baada kusoma imebidi ni scroll kuangalia Id ya muanzisha mada cha muhimu nimegundua sina dhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…