kazi ya doctor ni diagnose and treate, nao wanafanya hivyo sasa kwanini wasipewe heshima iyo.
Kwanini aliesoma, certificate, diploma, degree ya nurse, wote ni nurse..kwa nini isewe the same kwao
ni assistant clinical officer.
Hakuna Chuo chochote kiwacho hapa duniani kinachozalisha wahitimu na kupewa stashahada ya "Medical Assistance"...! Labda huko kwenu "uswazi"...!
mkuu, ninavyofahamu mimi ni kwamba, vyuo hivi hutoa clinical officers(waliomaliza form four) na assistant medical officer(waliomaliza form six na wale clinical officers wanao upgrade) au siku hizi mambo yamebadilika?
umekosea M.A ndio clinical officers, duniani wapo na wanatambulika ktk tasnia ya kutibu, watu ambao hawatambuliki ni AMO, hakuna cheo kama hiki,
nenda kaangalie vyeo vyao ndo utajua. Msipende kulazimisha vitu visivyotakiwa. Ndo maana ku medical attendant, nurse officer na nurse midwifery. Kila mtu anajua cheo chake. Ndo maana huku kuna co, aco, amo na md
Maana imekuwa kawaida kusikia nao wakiitwa madaktari hasa huku kwetu uswazi, naongelea hawa waliosemea hizi diploma za medical assistance....etc . Wanaitwa madokta nao wanaitikia na wanajitambulisha kuwa dokta...... JE NI SAWA?
Kuna ambao wanachukua diploma halafu advanced diploma halafu post graduate/masters..sasa hawa si madoctor kwasababu hawakuchukua medical doctor (MD)?
Doctor ni mtu yeyote ambae ana diagnose na ana treate, ACO,CO,AMO,MD..wote wana kazi nlizotaja
clinical medical assistance ni ngaz ya 3 toka kwa dr kamili. yaani wakwanza dr ambae kasoma medicine na ana degree anafanana na mwenye advanced diploma ya clinical officer wa pili ni clinical medicine diploma na wa3 ni clinical assistance officer! ni kauelewa kangu kadogo! jamani mwenye zaid aongezee!
Mkuu, postgraduate doesnt necessarily mean specialization....!! yaani unasema amemaliza diploma au adv. diploma then afanye specialization au?!If so hebu tupe mfano wa watu waliomaliza AMO, wakafanya SPECIALIZATION bila kusoma MD!!
Pili, naomba niseme unakosea...na nitarudia UNAKOSEA SANA unaposema daktari ni mtu yeyote, anayeweza ku_diagnose na ku_treat!!! Believe me it's not "just anybody"
Narekebisha mkuu, is not anybody
Vipi kuhusu CO ambao wanachukua AMO kwa ku specialize"immunology/parasitology" na nyengne hii sio specialization? Au specialization mpaka mtu asomee mapafu,macho au moyo?
Ukinijibu apo nitakaa sawa mkuu
Mkuu, yaani kuwa AMO sasa ni specialization au sijakuelewa vizuri?
Maana imekuwa kawaida kusikia nao wakiitwa madaktari hasa huku kwetu uswazi, naongelea hawa waliosemea hizi diploma za medical assistance....etc . Wanaitwa madokta nao wanaitikia na wanajitambulisha kuwa dokta...... JE NI SAWA?
Narekebisha mkuu, is not anybody
Vipi kuhusu CO ambao wanachukua AMO kwa ku specialize"immunology/parasitology" na nyengne hii sio specialization? Au specialization mpaka mtu asomee mapafu,macho au moyo?
Ukinijibu apo nitakaa sawa mkuu
Wenye certificate=clinical assistant (Afisa tabibu wasidizi)
wenye diploma = clinical Officers (Afisa tabibu)
Advanced diploma= Assistant Medical Officers(AMO)-madaktari wasaidizi
Degree = Medical Officers (MO/MD)-madaktari
Baada ya hapo zinafuata speciality
Mkuu, yaani kuwa AMO sasa ni specialization au sijakuelewa vizuri?
Unaweza kuspecialize kwa level ya Diploma kama huna Degree, hao wana soma post graduate diploma, kwa mfano Post graduate diploma ya OBS, Anaesthesiology n.k
Masters speciality ni lazima uwe 1st degree, ila kwa kutaka sifa nao wanajiita madaktari bingwa!