Wana jf naomba niulize hivi mtu aliyepata div4 kafeli maana humu naona mtu anataka ushauri au anauliza afanye vp na div yake 4 lakini watu wanaanza kumtupia maneno eti we nenda kalime,eti we kilaza,eti we nenda kachunge mbuzi yaani maneno kibao.sio vizuri mnavyowafanyia wenzenu