petro faustine
Member
- Oct 2, 2014
- 74
- 6
ni process gan zina chukuliwa kuhamishiwa boom na mkopo na huwa ina tumia km mda gani ..tusaidiaane pleas km ni process ndefu tubaki kwenye vyuo tulivyyo pangiwa tu
kweli aisee ila hadi juma nne mambo yakiwa kimya napiga chini kwakweli una weza uka kosa kote
Kwa taarifa za wadau waliotoka bodi ya mikopo wanasema majina yanatoka alhamic ndo jibu walilopewa hilo
tcu wanasema alhamic au ijumaa so ngoja tusubiri tuone.
ni process gan zina chukuliwa kuhamishiwa boom na mkopo na huwa ina tumia km mda gani ..tusaidiaane pleas km ni process ndefu tubaki kwenye vyuo tulivyyo pangiwa tu
Mkuu, ukifanya transfer ya chuo kuhamisha boom inaweza chukua hata mwaka, so itabd ujipange!
Hv hyo mwaka ndo maximum time au hata miaka miwili inawezekana? Na vipi mfano mtu alitransfer kutoka facult ya kawaida yenye 0% akaenda engineering inakuwaje kuhusu asilimia zake? Zitaongezwa au kama kawaida atakomaa na 0% yake??