Wenye fani ya sheria acheni mihemko, wengi mnapotosha mengi mchana kweupe

Wenye fani ya sheria acheni mihemko, wengi mnapotosha mengi mchana kweupe

Billal Saadat

Senior Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
169
Reaction score
358
Suala hili linapotoshwa sana bwana Peter Madeleka ni mwanasheria asiyejua kwamba Dubai ni Kati ya state tano zinaunda muungano wa UAE, Nyingine ni Abu Dhabi, Sharjah, Ajman, Umm Al-Quwain, na Fujairah!

Kwa muktadha inaruhusiwa kuingiwa kama The emirates of Dubai. Ni kama later on EAC Federation, Tanzania iingie mkataba yake.

Muungano huu UAE masuala ya bandari hayausu muungano hivyo Dubai wapo huru kuingia mkataba na yoyote.

Huyu ni miongoni mwa Wanasheria walio katika mitandao ya kijamii kupotosha Umma suala linaonekana wapo kwenye stream maalum za malipo ya wasioitakia mema bandari yetu.

IMG_5826.jpg
 
Niliangalia video ya musukuma aisee nikacheka sana peke yangu... amewapasha vilivyo wasomi kama hao
 
niliangalia video ya musukuma aisee nikacheka sana peke yangu... amewapasha vilivyo wasomi kama hao
Kwanza msukuma sidhani kama aliona mkataba!

Hata kama angeona hajui hata sentesi moja inasemaje!

Msukuma ni mtu wa koropoka, kupayuka, kujisifia ujinga, haya ongea yake unajua huyu mtu ni kilaza!

Ila kama umeona msukuma ameongea points basi wewe ni kilaza na hayawani kuliko unaemsifia!
 
Serikali isipowasaka Hawa ,wataeneza sumu sana..

Harafu sio sheria in such Bali mtu ana chuki zake binafsi na mlengo wake wa Kisiasa na kiitikadi ndio anaingiza huo ujinga wake..

Uhuru ukitumiwa vibaya Huleta madhara, Tajiri mmja juzi amesema kwenye Nchi ya wajinga wengi kama hii Serikali ipinguze kuweka wazi Baadhi ya mambo..

Ujue mjinga akimezeshwa jambo kuja kulitoa Huwa ni kazi,si mnawaona wanavyofanya huko wanakoita makanisani?
 
Kwanza msukuma sidhani kama aliona mkataba!
hata kama angeona hajui hata sentesi moja inasemaje...
Moja ya kitu kinakera ni mtu kukutoa akili akajikweza yeye kanakwamba amesoma darasa moja na yesu au mtu kukushambulia bila ya kuwa na uhakika na hoja anayosimamia kukushambulia

Kusema amewachamba wasomi ndio kumwona ameongea point? au kusema nimecheka sana kumsikia fulani akiongea ndo nimemsifia?

mbona kama wote ndo nyinyi wasomi mliochambwa na musukuma? kumbuka mimi sina maslahi kwenye siasa zenu kwahiyo usiniweke upande wowote katika sakata lenu hilo
 
Suala hili linapotoshwa sana bwana Peter Madeleka ni mwanasheria asiyejua kwamba Dubai ni Kati ya state tano zinaunda muungano wa UAE, Nyingine ni Abu Dhabi, Sharjah, Ajman, Umm Al-Quwain, na Fujairah!

Kwa muktadha inaruhusiwa kuingiwa kama The emirates of Dubai. Ni kama later on EAC Federation, Tanzania iingie mkataba yake.

Muungano huu UAE masuala ya bandari hayausu muungano hivyo Dubai wapo huru kuingia mkataba na yoyote.

Huyu ni miongoni mwa Wanasheria walio katika mitandao ya kijamii kupotosha Umma suala linaonekana wapo kwenye stream maalum za malipo ya wasioitakia mema bandari yetu.

View attachment 2655645
Mkuu Billal Saadat, tujifunze kuheshimu professionals za watu, kama mtu ni mwanasheria, ametoa hoja za kisheria, ukiamua kumkosoa, mkosoe kisheria.

Kwenye hili, Wakili Madeleka is very right, Tanzania is a state party, imeingia mkataba wa kimataifa na taasisi ya DPW ya Dubai ambayo sio state, Dubai sio state!. DPW wangeweza kuingia mkataba na TPA, hakuna tatizo lolote!.

Tangu kutokea kwa sakata hili, mimi siku zote nimekuwa nikielimisha umma kuhusu hili. Karibu darasa langu Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!
P
 
Suala hili linapotoshwa sana bwana Peter Madeleka ni mwanasheria asiyejua kwamba Dubai ni Kati ya state tano zinaunda muungano wa UAE, Nyingine ni Abu Dhabi, Sharjah, Ajman, Umm Al-Quwain, na Fujairah!

Kwa muktadha inaruhusiwa kuingiwa kama The emirates of Dubai. Ni kama later on EAC Federation, Tanzania iingie mkataba yake.

Muungano huu UAE masuala ya bandari hayausu muungano hivyo Dubai wapo huru kuingia mkataba na yoyote.

Huyu ni miongoni mwa Wanasheria walio katika mitandao ya kijamii kupotosha Umma suala linaonekana wapo kwenye stream maalum za malipo ya wasioitakia mema bandari yetu.

View attachment 2655645
Basi wanajikuta creeem 😂😂 ,kuliko kuachwa waendee kupotosha Serikali iwasake na kuwashughulikia ipasavyo.
 
Back
Top Bottom