Wenye hisa Tigo huu mwaka sio wao kabisa

Hahahahahahaaa !!! Kabla ya alama ya vidole unajua GAWIO LAO lilikua kiasi gani??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Heading yako haiendani na content.

Content imekaa kimipasho zaidi.
Unajua bundle za Tigo lakini?

15K you get 22GB for 7days.
 
Mimi tangu nimalize chuo niliamua kuweka line ya tigo kapuni, nilikuwa na tigo kwa ajili ya mshua kunirushia senti mbili za Kujikimu mana mzee wangu ni ngumu kumhamisha
Nilianza kutumia vodacom tarehe 01.02.2002 nikaja kutumia tigo tokea 02.05.2002. Izo laini zote zipo hewani na airtel tokea mwaka 2008 mpaka Leo na siwezi kuama iyo mitandao. Na tigo ndio mitandao ambao nimeunga kwy mobile money, whatasspp, Instagram, telegram na mpaka Leo sijajutia Ingawa wengine wanalalamika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mtu bado unalia na bando la 2000tsh kweli utakuja kumiliki V8 kweli!?[emoji851][emoji851]mimi tatumia Gb 1 kila siku kwa wiki natumia Gb 7 na gharama nayotumia kwa Gb 1 ni sawa na 3500tsh kwa kila siku


Sent using IPhone X
 
Tigo walikuwa vizuri sana vfurushi nafuu na network fresh..wakaja kujiloga kupandsha bei za vifurush na speed nayo ikawa mbovu zaidi.sifagilii voda khvo but kheri ninunue bando voda kuliko tigo,"WANABOA"
 
Kama mtu bado unalia na bando la 2000tsh kweli utakuja kumiliki V8 kweli!?[emoji851][emoji851]mimi tatumia Gb 1 kila siku kwa wiki natumia Gb 7 na gharama nayotumia kwa Gb 1 ni sawa na 3500tsh kwa kila siku


Sent using IPhone X
Tunatofautiana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…