Single The Loner
Member
- Sep 13, 2024
- 58
- 88
Niende moja Kwa moja kwenye maada,Kwa mujibu wa waamini wa bibilia na Quran ni kuwa binaadam ameumbwa na mungu
Sasa naomba kujua Kwa mujibu wa miungu ya kiafrica binaadam alitokea wapi? Au alizuka tu kama uyoga!
Nimeuliza Ili kujifunza na sio kubishana nawasilisha.
Sasa naomba kujua Kwa mujibu wa miungu ya kiafrica binaadam alitokea wapi? Au alizuka tu kama uyoga!
Nimeuliza Ili kujifunza na sio kubishana nawasilisha.