J Jicholamnyonge Member Joined Apr 9, 2013 Posts 21 Reaction score 4 Feb 28, 2014 #1 Nafurahi kujiunga na forum. natumai mtanikaribisha Kwa upendo wa kijamii na sio wa kisiasa. Sote ni wamoja pamoja na kuwa na tofauti za kisiasa.
Nafurahi kujiunga na forum. natumai mtanikaribisha Kwa upendo wa kijamii na sio wa kisiasa. Sote ni wamoja pamoja na kuwa na tofauti za kisiasa.
sungura1980 JF-Expert Member Joined May 20, 2013 Posts 1,909 Reaction score 1,213 Feb 28, 2014 #2 Karibu sana Jicholamnyonge Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
T Theodore Bagwell JF-Expert Member Joined Jan 13, 2014 Posts 940 Reaction score 225 Mar 1, 2014 #3 karibu JF
Humble African JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 4,781 Reaction score 14,415 Mar 1, 2014 #4 Karibu kabsaa ndugu!! Pitia na vitafunwa hapo sebuleni.
mkonyezaji Senior Member Joined Jan 22, 2014 Posts 154 Reaction score 19 Mar 1, 2014 #5 Karibu sana ndugu. Shida yenu mkishakua wenyeji hamshikiki, kwanza we ni mwanachama gani wa chama cha siasa. Jb tafadhali
Karibu sana ndugu. Shida yenu mkishakua wenyeji hamshikiki, kwanza we ni mwanachama gani wa chama cha siasa. Jb tafadhali
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Mar 2, 2014 #6 Karibu sana JF...
MatikaC JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 1,190 Reaction score 478 Mar 13, 2014 #8 Karibu new member...usikose kutembelea jukwaa la MMU (Mahusiano, Mapenzi, na Urafiki) ;-)