MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kenya imejiunga rasmi kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kama Mwanachama asiye wa kudumu kwa kipindi cha miaka miwili ijayo, kuanzia Januari Mosi, nafasi inayotarajiwa kuwa muhimu kwa mataifa ya Afrika.
Taarifa: ITV Tanzania
Taarifa: ITV Tanzania