binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Hahhaha huyo ni The legend! Nimecheka sana. Kama nawaona wazaramo walivyotawanyika..Mpaka sasahivi mshua wa FRESHMAN anaongoza kwa ukali kusini mwa jangwa la sahara . Ukitikisa kichwa kwenye gari anakushusha?
Ndiyobabaako alikua mjeda???
Mwaka 99 ndo nlikuwa nna miaka 5 now 24Miaka 5 unafanya nini humu? Pumbavuu...!! Piga magoti apo!
Wakati mi baba angu lazima anipe kwanza nile mimiWakati tunakua mzee wetu wakati wa kula ukikimbilia paja la kuku utapigwa jicho hilo lazima urudishe mwenyewe kwenye bakuli[emoji1] [emoji28]
Ha ha ha hivi simu ya mezani nayo ilikua ushua, mi nkadhani tv tu....basi tulikua wakishua asee na radio ya santuri ilikuwepo lolWakishua hadi simu za mezani[emoji13][emoji13]
Dingi tu aliniingiza mtegoni kwa kuguna si angekataa tu teh[emoji1][emoji1][emoji1] ukome kujifanya maza Theresa!
Siku iz mtot wa kike anazalia nyumbn anachekewa tu ten km wa kiume unampa jina la mshua anazidi kufurahia kwisha habarii .zaman sasa weeeeKwakweli nimecheka sana, khaaa ila madingi wa zamani walikuwa ni wazee wa mishoosho. Hawa wa siku hz hakuna kitu kbs.
Mzee wako alikua abuse sana,wazee kama hao wakishakua wakubwa wanakua wanahitaji kweli mapenzi ya watoto wao lakini utakuta watoto wanamchukulia poa tu.Ngoja nami niandike mambo kadhaa ambayo yamenifanya niamini hakuna mzee kama mzee wangu.
1. Siku moja tumeenda kwenye ngoma masikini nikaongozana na dada zangu kwenda huko mzee alikuwa yupo safarini akarudi akakuta milango yote imefungwa na kuku wapo nje yaani full tafrani hapo nje, wazee wa ngoma tukaingia kwa mbwembwe shikamoo baba!!! Hahahha tukafungua mlango kuku wakaingia ndani msosi ukapikwa na watu wakala.
Duh, huyo jamaa yako yuko wapi sasa hivi? Mzazi kuwa mkali kupita kiasi siyo malezi yanayofaa! Kitakachotokea ni chuki/upendo wa mtoto kwa mzazi kutokuwepo!Dingi ya jamaang, marehem mzee kadege alikua OCS au OCD kpnd hicho, kulala sero, kutandkwa na msauz/fimbo itumiwayo kuadhb waarfu polic ilikua kawaida kwa jamaang na kakazake. Sku moja mwaka 2001 katka kucheza cheza tukiwa na kbert cha ges, ambach jamaang uyo alimwbia mzee wake uyo uyo, tuliwasha moto fensi ya almashaur ilyokua imeungana na fensi ya hosptal ya wilaya, fens ilkua imepgwa seng'enge uku ikwa imepandwa mit na maua mbalmbal, meng yalkua yamekauka kwan ilikua n kiangaz. Nasema iv bila watu kuingilia kat na kumchomoa jamaang mikonon mwa yule mzeee naamn jamaang angekua marehem leo, kipgo alchopata ilbd tu alazwe. Pia nashukuru Mungu jithada za raia wema walfanikwa kuuzima moto ule japo ulileta madhara kias, miaka iyo zimamoto ilkua mkoan tu uku wilayan hazkuepo kabsa
Mmezidi kuutukiza ushoga tukio tu la kawaida linabadilishwa ili liwe LA kishoga shoga ifike mahali mjitambue shenzy.Malinda bado yapo mkuu?
Hata Mimi nimecheka sana kwakwel Mzee alikuwa ni shidaHahahah imebidi tu ni qoute japo maelezo marefu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1], nimecheka hadi nimepaliwa mtori!
ndo maana mkuuNdiyo
[emoji115] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Ngoja nami niandike mambo kadhaa ambayo yamenifanya niamini hakuna mzee kama mzee wangu.
1. Siku moja tumeenda kwenye ngoma masikini nikaongozana na dada zangu kwenda huko mzee alikuwa yupo safarini akarudi akakuta milango yote imefungwa na kuku wapo nje yaani full tafrani hapo nje, wazee wa ngoma tukaingia kwa mbwembwe shikamoo baba!!! Hahahha tukafungua
Yaan siku hz tabu tupu.Siku iz mtot wa kike anazalia nyumbn anachekewa tu ten km wa kiume unampa jina la mshua anazidi kufurahia kwisha habarii .zaman sasa weeee
Pole sana mkuu, I feel your pain.Hongeran kuwa na madingi, wengine kama sisi hatujafanikiwa kuwaona ni hadithi tunazosimuliwa
[emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu huyu mzee bado yupo hai kweliinyinyi nyote trella... dingi yangu maarufu sana maeneo ya yombo kila mtu hadi majirani wanamuongelea enzi zake.. kuwa alikuwa hatari...
enzi hizo dar bado wenyeji wengi mitaa ya uswahilini kuna ngoma za wamakonde na wazaramo kibao....
kuna siku wazaramo walipita na kigodoro chao mchana nje ya ukuta dingi alikuwa anapalilia majani... wazaramo kibao kama 200 hivi.. dingi