Elections 2010 Wenye maduka Bukoba wabandua picha za Kikwete kutani kwa kukosa wateja

Elections 2010 Wenye maduka Bukoba wabandua picha za Kikwete kutani kwa kukosa wateja

Zak Malang

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2008
Posts
5,404
Reaction score
239
Nimepata habari kutoka kwa swahiba wangu aliye Bukoba kwambapicha za JK zilizokuwa zime4bandikwa kwenye nyumba ambazo ni maduka na sehemu nyingine za biashara zimeanza kuondolewa na wenye biashara hao kwa kukosa wateja.

Baada ya tsunami ya Dr Slaa iliyopita jana, watu waliorudi kutoka kwenye mkutano waliona wafanya biashara wenyewe wakizibandua picha hizo huku baadhi yao wakisikika wakinung'unika kwamba wanakosa biashara.
 
Nimepata habari kutoka kwa swahiba wangu aliye Bukoba kwambapicha za JK zilizokuwa zime4bandikwa kwenye nyumba ambazo ni maduka na sehemu nyingine za biashara zimeanza kuondolewa na wenye biashara hao kwa kukosa wateja.

Baada ya tsunami ya Dr Slaa iliyopita jana, watu waliorudi kutoka kwenye mkutano waliona wafanya biashara wenyewe wakizibandua picha hizo huku baadhi yao wakisikika wakinung'unika kwamba wanakosa biashara.

H ah aha ha, mwaka huu mpaka kieleweke
 
Nimepata habari kutoka kwa swahiba wangu aliye Bukoba kwambapicha za JK zilizokuwa zime4bandikwa kwenye nyumba ambazo ni maduka na sehemu nyingine za biashara zimeanza kuondolewa na wenye biashara hao kwa kukosa wateja.

Baada ya tsunami ya Dr Slaa iliyopita jana, watu waliorudi kutoka kwenye mkutano waliona wafanya biashara wenyewe wakizibandua picha hizo huku baadhi yao wakisikika wakinung'unika kwamba wanakosa biashara.


Kumekucha mashabiki wa chama dola!! Imekuwaje tena -- yaani sura haiuzi tena!!
 
Nimepata habari kutoka kwa swahiba wangu aliye Bukoba kwambapicha za JK zilizokuwa zime4bandikwa kwenye nyumba ambazo ni maduka na sehemu nyingine za biashara zimeanza kuondolewa na wenye biashara hao kwa kukosa wateja.

Baada ya tsunami ya Dr Slaa iliyopita jana, watu waliorudi kutoka kwenye mkutano waliona wafanya biashara wenyewe wakizibandua picha hizo huku baadhi yao wakisikika wakinung'unika kwamba wanakosa biashara.

JK nuksi!!
 
wera weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa :whistle::whistle::whistle:
 
Nakumbuka mwaka 2007 Raila Odinga aliwaasa wakenya kutonunua vitu kutoka kwenye viwanda na maduka ya Mafisadi, hivi hii haiwezi kufanyika Bongo?
 
Nakumbuka mwaka 2007 Raila Odinga aliwaasa wakenya kutonunua vitu kutoka kwenye viwanda na maduka ya Mafisadi, hivi hii haiwezi kufanyika Bongo?

hii nawezekana , mathalani watu wanaweza kuisusa Vodacom kwa ujinga wanaoufanya wa kutoa namaba za watu na kutuma msg za ujinga ujinga
 
ni wakati muafaka wa kuachana na vodacom, alphatel, alpha dry cleaners. nk
 
Kikwete Nuksi tupu. Nguvu za majini haziwezi kushinda nguvu za Mungu. Kura yako mpe Dr Slaa!
 
Baada ya tsunami ya Dr Slaa iliyopita jana, watu waliorudi kutoka kwenye mkutano waliona wafanya biashara wenyewe wakizibandua picha hizo huku baadhi yao wakisikika wakinung'unika kwamba wanakosa biashara.

Mapana ya CCM Chama Cha Mafisadi sasa ncha zake ni Dr. Slaa na Chadema
 
JK nuksi!!

Si uliona mwenyewe Taifa Juzi, wamorocco sio wakutufunga sisi, kwa sababu kama tuliwadindia algeria kwao, then Afrika ya kati waka wadindia Morocco kwao, Sasa kwanini Afrika ya kati wa wafunge algeria sisi tushindwe kuwafunga Moroco nyumbani kwetu?
Nuksu huyu jamaa, Kamulize Kaijage kwanini CD ziligoma atakuambi Kikwete NUKSI!
 
Jamaa yangu alikuta wamebandika katika nyumba yake kwa lazima na yeye akalazimika kulazimisha kuziondoa. Watu wameamka. Ni saa 12 asubuhi. Ukombozi uko around wakuu wangu.
Bukoba wameamka. Mikoa mingine vipi? Matunda ya Operation Sangara hiyo.
 
Back
Top Bottom