Amina Thomas
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 272
- 130
Napenda kutoa tahadhari kwa wenye maduka hasa ya urembo. Jihadharini sana na kuwaamini baadhi ya watangazaji wa tv na redio hasa wa kike. Watu hawa wanapenda sana kukuzoea na kujenga uaminifu halafu wanakimbia na madeni. Watu hawa kwa umaarufu wao wanapenda maisha ya juu wakati kiukweli uwezo huo hawana. Mimi yamenikuta lakini baada ya kufanya uchunguzi nimegundua kua hata wengine wengi tu wamefanyiwa hivyo. Wakitapeli duka moja wanahamia lingine. Tabia hizi sio nzuri kwa kua tukiamua kuwaanika itakua aibu
napenda kutoa tahadhari kwa wenye maduka hasa ya urembo. Jihadharini sana na kuwaamini baadhi ya watangazaji wa tv na redio hasa wa kike. Watu hawa wanapenda sana kukuzoea na kujenga uaminifu halafu wanakimbia na madeni. Watu hawa kwa umaarufu wao wanapenda maisha ya juu wakati kiukweli uwezo huo hawana. Mimi yamenikuta lakini baada ya kufanya uchunguzi nimegundua kua hata wengine wengi tu wamefanyiwa hivyo. Wakitapeli duka moja wanahamia lingine. Tabia hizi sio nzuri kwa kua tukiamua kuwaanika itakua aibu