Wenye magari ya “Push to start” ulisha wahi tokewa na hii?

Wenye magari ya “Push to start” ulisha wahi tokewa na hii?

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,557
Reaction score
1,787
Miezi kadhaa nilienda pale Azam Tazara, nika weka gari sawa nikazima . Ile nafunga mlango na “remote” naona haikubali nika angaika mpaka nifangua remote ndani labda “battery” imekaa vibaya wapi, na nili badili kama miezi 2. Kuwasha gari nayo haiwaki tena, nikafunga na funguo mlango nifanya kazi zangu nikarudi kwenye gari nika mpigia fundi wangu hakunipa majibu ya maana sana kasema labda battery . Nikachukue ile remote nikaweka karibu na push button ikakubali kuwaka nikaondoka . Kufika nyumbani nikazima kuwasha kama kawaida haina tatizo kabisa.

Mwisho nikagundua pale Azam kuna minara nadhani inaingiliana / interruption na remote za magari nimepitia Google nimekuta ni kweli na pia kuna wadau ilishawakuta unaweza ita break down wakabeba gari [emoji1][emoji1]
 
😂😂😂ugeni ni sawa na ushamba
Jamaa angu alitoka mkoani akapaki hapo gari ikamtokea hiyo tena gari ndo alikuw ametoka kulinunua jamaa alipagawa alipiga simu ndugu na jamaa wotee kuwaambia kuwa kapigwa gari eti bovu
 
Miezi kadhaa nilienda pale Azam Tazara, nika weka gari sawa nikazima . Ile nafunga mlango na “remote” naona haikubali nika angaika mpaka nifangua remote ndani labda “battery” imekaa vibaya wapi, na nili badili kama miezi 2. Kuwasha gari nayo haiwaki tena, nikafunga na funguo mlango nifanya kazi zangu nikarudi kwenye gari nika mpigia fundi wangu hakunipa majibu ya maana sana kasema labda battery . Nikachukue ile remote nikaweka karibu na push button ikakubali kuwaka nikaondoka . Kufika nyumbani nikazima kuwasha kama kawaida haina tatizo kabisa.

Mwisho nikagundua pale Azam kuna minara nadhani inaingiliana / interruption na remote za magari nimepitia Google nimekuta ni kweli na pia kuna wadau ilishawakuta unaweza ita break down wakabeba gari [emoji1][emoji1]
Hiyo ni remote au smart key?
 
Back
Top Bottom