Wenye mahusiano ndio wanaofuatwa sana.

Wenye mahusiano ndio wanaofuatwa sana.

2013

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
11,360
Reaction score
6,069
Kuna ule usemi aliyenacho uongezewa.
Uzoefu wangu unanionyesha kuwa ukiwa katika mahusiano ndipo wakinadada wanamiminika sana kukushobokea na kukuhitaji kimapenzi lakini ukiwa single na wakajua uko single, hawakupi hata salamu na unaweza ukakatiza mwaka hawakutazami hata usoni.
 
Kuna ule usemi aliyenacho uongezewa.
Uzoefu wangu unanionyesha kuwa ukiwa katika mahusiano ndipo wakinadada wanamiminika sana kukushobokea na kukuhitaji kimapenzi lakini ukiwa single na wakajua uko single, hawakupi hata salamu na unaweza ukakatiza mwaka hawakutazami hata usoni.

ila jamani maisha haya utakuwaje single? mi siamini kama masingo wapo.
 
Kuna wadada wanaonekana wazuri zaidi wakifanya ngono bila kinga coz zile sh.ahawa zinafanya ngozi ing'ae...wakiwa singo ooooh!!
Mh!! Niliwahi kuambiwa na Dada mmoja..Hii jamani ina ukweli?
 
ila jamani maisha haya utakuwaje single? mi siamini kama masingo wapo.

Its true nishawai kuexprnce io, kama sasa niko single, co kukuliza Ali atata wao kuwaliza kuitikia.kwa.tabu ila.nilipokua niko.glnd wangu nikichagua toka tukate mawacliano i.say. Naexprnce kipnd kigum sana so thats s true bro bt kwa kipnd bt
 
Back
Top Bottom