Wenye mahusiano ya mahaba ndani ya JF mnaturusha roho sie tusio na wapenzi humu JF

Alijua me ndio maana akakutus labda[emoji23] [emoji23]
Exactly mm damu yangu na me huwa hazipand yawezekana aliniuzi bhn mm huwa simtus mtu kama hajanijib vibayaaa

Yawezekana wote tulikoseana anisamehe tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yawezekana tulipishana kauli mkuu jaman loooh hebu nisamehe tafasali

Usiwe na kinyongoo tena jaman [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Halafu nilichochangia nilikupa tu pongezi mama yangu ngoja nitwishwe zigo hilo,
kinyongo sina ila kila nilipokuta jina lako nilikwepa maana ilikuwa kwaresima, usijali ni ajali kazini
 
Halafu nilichochangia nilikupa tu pongezi mama yangu ngoja nitwishwe zigo hilo,
kinyongo sina ila kila nilipokuta jina lako nilikwepa maana ilikuwa kwaresima, usijali ni ajali kazini
Wew na hajar sijui ni ndugu..mnamichango yakiheshima sana kwenye nyuzi tofaut
 
Kiukweli hapa nawakilisha KE/ME tulio hatuna viburudisho,, tunapata wivu pale mnapoanza kuoneshana mahaba ktk status zenu,, kiukweli tunabaki kujichekesha tu ktk status zenu,,, tupotupo tuu,,, yaaan

[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Ni kweli, kuna baadhi ya wanawake humu wakikukomentia, inabidi uongee kwa sauti hata ukiwa peke yako.
Miss wote natafuta/chagga, lin ha, kwanza mpoo lakini?
 
Halafu nilichochangia nilikupa tu pongezi mama yangu ngoja nitwishwe zigo hilo,
kinyongo sina ila kila nilipokuta jina lako nilikwepa maana ilikuwa kwaresima, usijali ni ajali kazini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenichekesha sana akiiiii

Ukaanza kuikimbia id ya Demiss looh unisamehe saba mara sabini mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…