Wenye maswali mengi kuhusu magari, tukutane hapa

Wenye maswali mengi kuhusu magari, tukutane hapa

KASULI

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
599
Reaction score
677
Habari za Sunday wana Jamvi.

Kwanza ni declare interest kuwa mimi sijawahi kumiliki gari ya aina yoyote bali hii ni ndoto inayoishi.

Huwa nina maswali mengi kuhusu magari, kuanzia gari lenyewe, manufacturer, clearing and fowarding companies, TRA (KODI), Uendeshaji wake etc

Suala ambalo najua wengi wetu ambao tunasema Sir God akibless basi tunawaza kumiliki vitu hivyo.

Unakuta mtu anatangaza Gari Lets say ni dalali basi kaweka vikorombwezo kibao mpaka unawaza vina manufaa gani na kivipi vinaongeza thamani ya gari??

Tuanzie hapa....

1. Airbag ni kitu gani na kinafanyeje kazi??

2. Zile 1400CC, 2300CC, 3500CC, Zinaongeza au kupunguza nini kwenye gari

3. Kuna hii 2.2L, 2.4L hiyoo L inatafsiri kitu gani na kivipi inaongeza thaman ya chuma....

Karibuni wenye maswali na wale wenye uelewaa na mambo haya...

Asanteniii
 
Kuna V8, TDI, V6, VX yaan ni kuchanganyikiwaaa tuuuu....

Angalia hizi garii......

WISH na GAIA
RUNX na ALLEX
RAUM
ALLION na Sprinter

Woote wanafanana tofautii ni nini sasaaa
 
Kuna injini ya petrol na injini ya diesel

Kuna manual kuna automatic gear....
Naomba kuelimishwaa jaman
 
Durability ya volkswagen tourage uki compare na toyota harrie, honda crv au nissan xtrail / murano ipoje????
 
Nina RAv 4 new model, njia ya kwangu kama 3km ni mbovu .ninaweza weka coil over nyuma maana nabeba maadumu 7-8kila siku.
Na kama inawekwa ni wapi wanafanya hivyo?, na inasaidia nini?
 
Nina RAv 4 new model, njia ya kwangu kama 3km ni mbovu .ninaweza weka coil over nyuma maana nabeba maadumu 7-8kila siku.
Na kama inawekwa ni wapi wanafanya hivyo?, na inasaidia nini?
Coilover ni special kwa wale wanaopenda either kuishusha gari au kuinyanyua gari kimtindo (ride height)..au ulimaanisha kuweka coilover ili isaidie nini?
 
Nina RAv 4 new model, njia ya kwangu kama 3km ni mbovu .ninaweza weka coil over nyuma maana nabeba maadumu 7-8kila siku.
Na kama inawekwa ni wapi wanafanya hivyo?, na inasaidia nini?
Wacheki team cruiser ig
 
Habari za Sunday wana Jamvi.

Kwanza ni declare interest kuwa mimi sijawahi kumiliki gari ya aina yoyote bali hii ni ndoto inayoishi.

Huwa nina maswali mengi kuhusu magari, kuanzia gari lenyewe, manufacturer, clearing and fowarding companies, TRA (KODI), Uendeshaji wake etc

Suala ambalo najua wengi wetu ambao tunasema Sir God akibless basi tunawaza kumiliki vitu hivyo.

Unakuta mtu anatangaza Gari Lets say ni dalali basi kaweka vikorombwezo kibao mpaka unawaza vina manufaa gani na kivipi vinaongeza thamani ya gari??

Tuanzie hapa....

1. Airbag ni kitu gani na kinafanyeje kazi??

2. Zile 1400CC, 2300CC, 3500CC, Zinaongeza au kupunguza nini kwenye gari

3. Kuna hii 2.2L, 2.4L hiyoo L inatafsiri kitu gani na kivipi inaongeza thaman ya chuma....

Karibuni wenye maswali na wale wenye uelewaa na mambo haya...

Asanteniii
-airbag ni mfumo wa kukusaidia kupata maafa pindi ambapo gari yako imepata ajali. Airbag zinakua sehem tofauti tofauti kama vile kwenye steering wheel, upande wa seat ya pembeni ya dereva kwenye dashboard na zingine hata kwenye seats kwa pembeni. Pindi itokeapo ajali ile airbag inakua inafumuka (ikifumukq inakua kama baloon hv) hivo kukusaidia kutokuweza kudhurika.

-Cc ni cubic centimetre...yani ile cylinder kwenye engine. Ni ukubwa wa engine kwa kifup, gari yenye cc ndogo...consumption ya mafuta ni ndogo na pia hata engine yake inakua haina nguvu sana ukilinganisha na zenye cc kubwa.

-Hio 2.2L hio L inamaanisha Litre, ni sawa tu na cc utakuta gari ya cc 1450 inaandikwa 1.5L, gari ya cc1950 inaandika 2.0L
 
-airbag ni mfumo wa kukusaidia kupata maafa pindi ambapo gari yako imepata ajali. Airbag zinakua sehem tofauti tofauti kama vile kwenye steering wheel, upande wa seat ya pembeni ya dereva kwenye dashboard na zingine hata kwenye seats kwa pembeni. Pindi itokeapo ajali ile airbag inakua inafumuka (ikifumukq inakua kama baloon hv) hivo kukusaidia kutokuweza kudhurika.

-Cc ni cubic centimetre...yani ile cylinder kwenye engine. Ni ukubwa wa engine kwa kifup, gari yenye cc ndogo...consumption ya mafuta ni ndogo na pia hata engine yake inakua haina nguvu sana ukilinganisha na zenye cc kubwa.

-Hio 2.2L hio L inamaanisha Litre, ni sawa tu na cc utakuta gari ya cc 1450 inaandikwa 1.5L, gari ya cc1950 inaandika 2.0L
Kiongozii hizii Airbag zinafanya kazii mpka kwenye hizi second hand za Japan au ni garii jipyaa tuu Zero km.???
 
-airbag ni mfumo wa kukusaidia kupata maafa pindi ambapo gari yako imepata ajali. Airbag zinakua sehem tofauti tofauti kama vile kwenye steering wheel, upande wa seat ya pembeni ya dereva kwenye dashboard na zingine hata kwenye seats kwa pembeni. Pindi itokeapo ajali ile airbag inakua inafumuka (ikifumukq inakua kama baloon hv) hivo kukusaidia kutokuweza kudhurika.

-Cc ni cubic centimetre...yani ile cylinder kwenye engine. Ni ukubwa wa engine kwa kifup, gari yenye cc ndogo...consumption ya mafuta ni ndogo na pia hata engine yake inakua haina nguvu sana ukilinganisha na zenye cc kubwa.

-Hio 2.2L hio L inamaanisha Litre, ni sawa tu na cc utakuta gari ya cc 1450 inaandikwa 1.5L, gari ya cc1950 inaandika 2.0L
Hiyo 1.5 L, ufafanuzi wake ukoje ni sawaa na kusema Litre moja kwa Km1.5 au ikojee Kiongozii
 
Kiongozii hizii Airbag zinafanya kazii mpka kwenye hizi second hand za Japan au ni garii jipyaa tuu Zero km.???
Kila gari inakua nayo (gari ndogo hizi) ila ikishapata ajali na kufumuka, ndo hapo inakua mwisho wake tena
 
Back
Top Bottom