Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Wamevamia lini? For the record hawajawah kudhubutu kugusa hiyo kambi.Wameshavamia hukuna kuuwa askari wa kimarekani
naona mmarekani ANACHOCHEA MOTO.
mmarekani anapiga Somalia.
al Shabab anapiga KENYA.
NCHINI MAREKANI WAO WAKO SALAMA.
Sent using Jamii Forums mobile app
SAS is the best of them all . Actualy ni one of the first tear 1 groups.Mimi nawakubali sana British SAS huwa hawarembi na Alshababu akisikia SAS ameingia huwanayayuka.
Wasomali ni waarabu? Wewe mwenyewe umesema kwamba magaidi wote waliofanya lile shambulizi la pale Riverside ni wa kabila la Farmajo, rais wa Somalia. Wakati wasomalia wote ni wa kabila moja, ukoo tofauti. We vipi wewe, huna breki? Kazi kujitungia tu hadithi unazozielewa wewe mwenyewe. Hili ni jukwaa na watu makini bana, wapi ushahidi wa yale unayoyasema?Waarabu woote ni kitu kimoja lakini wanamakabila mbalimbali walioshtakiwa wengine ni wakenya lakini kwenye zile pixha za mizoga wote walikuwa ni wasomali.
Tuzionee mkuuuu nitumieee au zitumee hapaaZiko picha za Aakari wa Kenya waliofumuliwa minofu ila si Busara kuziweka hapa.
Ila kila siku Mogadishu polisi na majeshi wanauwawa na Magaidi.
Hapana ni majirani zetu wa nado wanaombeleza.
Nope. Amewahi kufika kismayo . Infact.. huyu ndio sababu america wana base hapo somalia.Wasomali wa Kenya Kumbuka makabila ya kissomali yako loyal popote pale yalipo
Sheikh Shariff ndie alio waalika Waturuki kulifumdisha jeshi la Somalia sio huyu wa sasa ambae anacontrol mogadishu na viunga vyake hawezi kwenda kisimayo bila kupata kibali cha Uhuru Kenyatta.
Sasa binadamu wakifa wanakuwA mizoga na wanyama maiti .Waarabu woote ni kitu kimoja lakini wanamakabila mbalimbali walioshtakiwa wengine ni wakenya lakini kwenye zile pixha za mizoga wote walikuwa ni wasomali.
Nataman hao wapumbafu washushiwe ule mzgo ulio shushwa pale heroshma na Nagasaki kudadeki ,,futa kabsa jina LA Somalia afu iwe ni mkoa Wa Kenya pumbaf kabsaNaona imekuuma kuwaona hao wamebadilishwa kuwa mishkaki, watapigwa tu, drone zinapaa juu yao.
Kwa uongo huu, nenda kamuongopee mke wako mkiwa chumbani. Sio hapa.
Hilo ni jibu Mkuu!
Asante kwa ufafanuzi mzuri. Nilikuwa sijui.Ethiopia na Wasomali wanautamduni mmoja asilimia 56 ya Waethiopia ni Waisilamu lakini Waithiopia walichokifanya ni kuuelewa Mgogoro wa Somalia,Halafu Mkoa wa wa Wasomali Ulioko Ethiopia naumepewa Autonomy yaani wasomali wa etiopia wanajitawala wenyewe Akitokea gaidi wanamdhibiti wenyewe.
Hio gari itafikaje Nairobi, hebu tueleze?Magari haya ya Deraya Muda si Mrefu yataonekana katika mitaa ya nairobi yakiwa na Magaidi wa Alshabaab huku yakiuwa Raia hovyo.
Kumbuka Qatar pia ilikuwa na Uhusiano Mkubwa na Magaidi Wa ISIS.
View attachment 1000438