Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Watu wa Nairobi wakae mkao wa kula hili shambulio litalipizwa!Magaidi huwa wanaweza kusahau mambo yote Ila sio kulipiza kisasi
Kisasi chake huwa Ni breaking news ya Dunia
'Mtu anaeua Na kubaka mama, Dada Na Ahli zako hawezi kuacha kufanya hivyo kwa kuandamana, kuchoma bendera Za Nchi yao au kwa kufanya Midahalo ya kulaani'
Hakikisha na wao wanafuta Machozi Kama mnavyofuta Nyie, watoe miili ya ndugu zao Kwenye vifusi Kama mnavyotoa nyie...'- Abubakar Shakau
Ni lugha Za kichochezi Na hazifai lakin Zina ujumbe muhimu Na wa wazi Kama ni mwenye kutafakari
Naona imekuuma kuwaona hao wamebadilishwa kuwa mishkaki, watapigwa tu, drone zinapaa juu yao.
This is the year we whippe out Al-Shabaab out of the face of the Earth. Wakufe kabisa.[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]Onyo: Usifuate link kama huna roho ya chuma
https://cnyakundi.com/exclusive-gra...shabaab-killed-by-a-drone-strike-in-jubaland/
[emoji23] [emoji23]Nyama choma wapi, yaani mnategemea marekani ndio aje awakingie mgongo dhidi ya wavaa ndala. Hivi majeshi yenu yote yanafanya kazi gani kubabake zenu!!!
Natamani siku alshabaab waje wavamie nyumba kwa nyumba Nairobi nzima wawapige ukuni katikati ya makalio.
He must be a member of an alshabaab cell in tanzania, remember the suicide bomber was in exile in tanzania for some time, huyu achunguzwe kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu weka na za al shabaab juu pia hata wao ni watu na wana familia.View attachment 1000507View attachment 1000507View attachment 1000507View attachment 1000510View attachment 1000512View attachment 1000513
Baadhi tu ya majeneza ya Askari waliouwawa na M7agaidi wakishirikiana na Viongozi wa Somalia.
Matak* wewe utawaita si uje wewe mwenyewe. Nitapambana na wewe mimi mwenyewe. Huku hatucheki na wapuuzi kama nyinyi.International city?? What the F****!!
Mara ngapi Wanaume kutoka Kismayo wamekuja kuchinja chinja vikenya na majeshi yenu yanabaki kukodoa macho.
Nitawaita tena waje wakijambishe, endelea kuchonga domo lako.
Tupambane Na Umoja wa Mashababu wa CCM.UvCCM.Matak* wewe utawaita si uje wewe mwenyewe. Nitapambana na wewe mimi mwenyewe. Huku hatucheki na wapuuzi kama nyinyi.
Nini hii unacoment,??hizi akili gani hiziNyama choma wapi, yaani mnategemea marekani ndio aje awakingie mgongo dhidi ya wavaa ndala. Hivi majeshi yenu yote yanafanya kazi gani kubabake zenu!!!
Natamani siku alshabaab waje wavamie nyumba kwa nyumba Nairobi nzima wawapige ukuni katikati ya makalio.
Sidhani kama hii ni akili yako.. Unawezaje kufufaia kuona maiti?
Dah,yani hizi akili aisee,huu ni upumbavu wa hali ya juuKweli ashki Majunun [emoji15] [emoji12] watu weshakuwa jivu watavamiaje tena [emoji350] [emoji348] [emoji348] akili yako ipo kama huyu [emoji117] View attachment 1000146
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah mkuu sabuni zinamchanganya huyo sheikh ubwabwa.
Sio wajinga tu tena ni waoga sana wanapenda kutishia kuliko kuonesha uwezo wao wangekuwa wanavamiaga kambi za jeshi kenya ningewaona wa maana sana ila kwa uwonga wanavamia watu ambao wengine silaha wamezionaga kwenye muvi tu, shame upo themTa
Tatizo ni wajinga
Upigwe na wanajeshi
Ukalipe sokoni ambako hawajuwi lolote. Watoto, wanawake nk
Nawachukia sababu husabisha maafa kwa RAIA wema wasio na hatia na wasiojuwa lolote
Mwanajeshi gani anayeua mama zaidi ambaye haziko sawaHao Wanajeshi wanaua Mama wa Magaidi Na Magaidi wanakuja kuua Mama wa Wanajeshi
Ili next time wao wakiwa bize kurehemu Mama zao Na Wewe Uwe bize kuweka Shada la Maua Na kuwasha mishumaa kumkumbuka Mama yako
Ukiua ndugu zao sio ishu maana kuna wengine ambao hawasapotiwi kabisa na jamaa zao kwa ujinga wanaofanya wengine hata jamaa zao hawajui kuwa wanafanyaIntelijensia kali inahitajika kupambana na magaidi kwa sababu upigaji wao ni wa kuvizia, kwa kifupi ni waoga.
Na njia nyengine nzuri ya kudili nao ni kuua ndugu zao hadi wazazi wao kama wapo hai. Ikiwezekana koo zao nazo mnaziua ili nao wajue uchungu wa kuuwa kwa wapendwa wao.
Huyu jamaa anataka kutuaminisha kuwa jeshi linaeda kuua mama gaidi etWewe unaongea nini?
Magaid huuwa RAIA wasio na hatia. Nani huenda kuuwa mama wa magaidi?
Mbona unaroho ya mauwaji ndugu.
Unaweza ukawa upo sawa lakin hili ni tofauti na wao magaidi wanavyofanya wao wanawalenga watu moja kwa moja ugngeniambia wao wamevamia kambi ya jeshi kenya halafu wasio na hatia wakauwa kidogo unaeleweka lakin sio kwenda kuvamia watu wamelala zao hotelini na unajiita jasiri et upo vitani?Kwa nini kwanza ukampige huyo jirani yako?
Kwanini unaanza kuchokoza Mtu ambae hana time Na Wewe ?
Wewe unadhan Yale Madege yanayoporomosha Makombora Middle East wote wanaouawa wana hatia?
Yaan kwa unafiki kabisa unajifanya hujui Kuwa Wanaouawa bila ya hatia Middle East Ni wengi Kuliko wenye hatia