uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,085
Hiv unajua hawa wanajitoa muhanga wanachezewa tu yaani kwenye suala la ugaidi kinachofanyika ni mtu kukuuzia panya na paka kwa pamoja,siku wenye dini wakijitambua ndo ugaidi utaishaKDF India zaidi ya alshabaab 3,000.... Shida ya Vita vya kigaidi no ukiua mmoja, ndugu zake na wajomba zake ambao walikua hawajakua magaidi wanachukua bunduki ndo maana Hadi Leo Marekani umeshakua kumaliza Vita kule m.east....
Suluhisho la kudumu ni kuhakikisha wale wanao wa supply na risasi au hela ndo wanapotelea mbali...ili magaidi wawe hawana uwezo wa kufanya shbulizi la Aina yoyote hata wawe na hasira mamma gani
Na ndo kinachotokeaga mtaani wakifanyaga ugaidi kuna waislamu wasiohusika wanasotaga sero kwa sababu ya ujinga wa haoYeah sababu waasi au magaid wanajificha kwenye makazi ya watu.
Hili ndio tatizo la ku crack gurrella war fare.. adui ana hit and run anajificha kwenye makazi ya watu.
Ni ngumu for military ku distinguish nani ni adui nani sie adui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo sir mimi kazi upload ...alshabab wamegeuzwa mshikakiPicha zipo wapi mbona kwenye link hamna picha
Vipi unataka nione porn au?? Alokwambia kuona kitu ni kukifurahia nani??? Unadhani anayofanya jiwe tunayona tunafurahi..fwala wewSidhani kama hii ni akili yako.. Unawezaje kufufaia kuona maiti?
nilifikiri KDF, kumbe land lord zenu?Onyo: Usifuate link kama huna roho ya chuma
https://cnyakundi.com/exclusive-gra...shabaab-killed-by-a-drone-strike-in-jubaland/
Unaweza ukawa upo sawa lakin hili ni tofauti na wao magaidi wanavyofanya wao wanawalenga watu moja kwa moja ugngeniambia wao wamevamia kambi ya jeshi kenya halafu wasio na hatia wakauwa kidogo unaeleweka lakin sio kwenda kuvamia watu wamelala zao hotelini na unajiita jasiri et upo vitani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini we jamaa una roho ya kishetani. Huwezi kufurahia matendo ya hawa magaidi kama una akili timamu.Nyama choma wapi, yaani mnategemea marekani ndio aje awakingie mgongo dhidi ya wavaa ndala. Hivi majeshi yenu yote yanafanya kazi gani kubabake zenu!!!
Natamani siku alshabaab waje wavamie nyumba kwa nyumba Nairobi nzima wawapige ukuni katikati ya makalio.
Nyama choma wapi, yaani mnategemea marekani ndio aje awakingie mgongo dhidi ya wavaa ndala. Hivi majeshi yenu yote yanafanya kazi gani kubabake zenu!!!
Natamani siku alshabaab waje wavamie nyumba kwa nyumba Nairobi nzima wawapige ukuni katikati ya makalio.
We jamaa uliwaza nini lakini dah! hahahaa.Nyama choma wapi, yaani mnategemea marekani ndio aje awakingie mgongo dhidi ya wavaa ndala. Hivi majeshi yenu yote yanafanya kazi gani kubabake zenu!!!
Natamani siku alshabaab waje wavamie nyumba kwa nyumba Nairobi nzima wawapige ukuni katikati ya makalio.
Al shabaab juu, kama moto wa kifuu.
Tafufa uzi mmoja unatambaa kinyama kuna video ya KDF anajieleza na kisha kupigwa risasi ya kisogo.
Marekani aisee ni moto wa kuotea mbaliOnyo: Usifuate link kama huna roho ya chuma
https://cnyakundi.com/exclusive-gra...shabaab-killed-by-a-drone-strike-in-jubaland/