Pre GE2025 Wenye nia za kugombea Ubunge na udiwani ndani ya CHADEMA wako njia panda, wajipanga kutafuta fursa hiyo vyama vingine vya siasa nchini

Pre GE2025 Wenye nia za kugombea Ubunge na udiwani ndani ya CHADEMA wako njia panda, wajipanga kutafuta fursa hiyo vyama vingine vya siasa nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Hali hiyo imetokana na chama hicho kujikita zaidi kutafuta pesa za matumizi ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa mgongo wa matumizi ya chama na kuhamasisha wananchi kutokushiriki uchaguzi mkuu huo wa kikatiba October mwaka huu 2025, mpaka pale matakwa ya chama hicho yatakapotimizwa.

Wengi wao wamekatishwa tamaa na hali hiyo na wameona kwakua chama hicho hakitashiriki uchaguzi huo wa October, ni vyema wakatafuta fursa hiyo kwenye vyama vingine, ili hatimae kutimiza azma, nia na ndoto zao za kikatiba kupata fursa za kua viongozi na wawakilishi wa wananchi maeneo mbalimbali nchini kwa Neema na Baraka za Mungu.

Hiyo ni miongni mwa athari za mwanzo kabisaa za nonsense ya no reform no elections ya chadema.

Je,
watia nia hao wataondoka wenyewe au wataondoka na watu ndani ya chadema?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Chadema sio sehemu ya kutegemea ule kupitia uchaguzi. Walio chini wanataabika sana.

Nionavyo; heri uungane na viongozi wa juu ule nao ruzuku na michango ya wadau, au uwe vema kiuchumi ugombee au uhame chama.
 
Kila siku chadema walikuchukulia mume nini?

Nadi chama chako chakavu.
unafurahia kutapeliwa pesa na vibaka gentleman?

kweli unajiskia vizur tu kurubuniwa uhuru na zulumiwa haki yako ya kikatiba ya kupiga kura gentleman, kweli?🐒
 
Hali hiyo imetokana na chama hicho kujikita zaidi kutafuta pesa za matumizi ya viongozi wakuu wa chama hicho kwa mgongo wa matumizi ya chama na kuhamasisha wananchi kutokushiriki uchaguzi mkuu huo wa kikatiba October mwaka huu 2025, mpaka pale matakwa ya chama hicho yatakapotimizwa.

Wengi wao wamekatishwa tamaa na hali hiyo na wameona kwakua chama hicho hakitashiriki uchaguzi huo wa October, ni vyema wakatafuta fursa hiyo kwenye vyama vingine, ili hatimae kutimiza azma, nia na ndoto zao za kikatiba kupata fursa za kua viongozi na wawakilishi wa wananchi maeneo mbalimbali nchini kwa Neema na Baraka za Mungu.

Hiyo ni miongni mwa athari za mwanzo kabisaa za nonsense ya no reform no elections ya chadema.

Je,
watia nia hao wataondoka wenyewe au wataondoka na watu ndani ya chadema?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mtu yeyote mpumbavu huongea bila TAKWIMU. Tangu asubuhi umepandisha mbo mengi sana ya kijinga a uzushi bila takwimu zozote. Bado hujathibitisha kufeli kwa walimu wwasio na ajora unapandisha ujuha mwingine
 
Back
Top Bottom