Wenye orodha ya Watanganyika 7,000 waliopata ajira Bomba la mafuta,aiweke hapa Jf!

Hivi huu mradi hupo kweli? Au huko kwenye makaratasi??
Mradi upo na unaendelea kuchanja mbuga kimya kimya huku figisu za kila aina kutoka kwa Mabeberu na vibaraka wao, nazo zikiendelea ili tu kuhakikisha haufanikiwi.
 
Mkawaroge ili wawe vichaa mchukue nafasi zao, tunawajua sana nyie wabongo
 
Watanganyika waliopata ajira Bomba na mafuta tukutane hapa!
Mguu kwa mguu 2025 ,huyo bibi anajua anakotupeleka? Itafika 2030 tutaanza kushangaana na kulaumiana ,na kuanza kumtukana matusi ya Kila namna,ila haitasaidia,tutakuwa tumeshapigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…