Wenye Simba tumerudi rasmi! Tega sikio Saa 12 kamili jioni ya leo, chuma cha maana kinaingia!

Wenye Simba tumerudi rasmi! Tega sikio Saa 12 kamili jioni ya leo, chuma cha maana kinaingia!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1720015568584.png

Yaani GENTAMYCINE na akina Magori pamoja na Mafia wengine akina Nkwabi na Idi tuweke Silaha zetu chini na turejee Kuipambania Simba SC yetu kwa kutumia ule ule UMAFIA wetu unaoogopeka na Washamba wa Mafurikoni halafu Isisajili vyema, isifanye vyema na isichukue Ubingwa au kufika mbali CAFCC na CAFCL?

Kudadadeki, tumerudi Kazini wenye Kuujua UMAFIA wa Soka la Tanzania na sasa mtakuja Kutuomba Msamaha, sawa?
 
Viongozi wa simba ni wajinga, wameishusha brand simba kwa misimu 3 hovyo hawafai
 
Mnajua jinsi mnavyoipigaga shoti Simba
katika michezo ya mwanzo ili kutengeneza gepu mapema
Shoti mnajipigaga wenyewe, mmeshaanza kusaini wachezaji kocha hamumjui.Wachezaji wenyewe tunazisikia sifa zao kupitia msemaji wenu,ila uwajani uwezo wao hamna anaye wajua.


Pili mnaijenga timu,kujenga timu sio kama kutia sukari kwenye kikombe cha chai,msipokuwa na subira mtapigana fimbo wenyewe kwa wenyewe.
 
Shoti mnajipigaga wenyewe, mmeshaanza kusaini kocha hamumjui.Wachezaji wenyewe tunazisikia sifa zao kupitia msemaji wenu,ila uwajani uwezo wao hamna anaye wajua.


Pili mnaijenga timu,kujenga timu sio kama kutia sukari kwenye kikombe cha chai,msipokuwa na subira mtapigana fimbo wenyewe kwa wenyewe.
Yule anaye tunza kumbukumbu asisahau kutunza na ili bandiko ili tusipate tabu katika kukumbushana.
 

Yaani GENTAMYCINE na akina Magori pamoja na Mafia wengine akina Nkwabi na Idi tuweke Silaha zetu chini na turejee Kuipambania Simba SC yetu kwa kutumia ule ule UMAFIA wetu unaoogopeka na Washamba wa Mafurikoni halafu Isisajili vyema, isifanye vyema na isichukue Ubingwa au kufika mbali CAFCC na CAFCL?

Kudadadeki, tumerudi Kazini wenye Kuujua UMAFIA wa Soka la Tanzania na sasa mtakuja Kutuomba Msamaha, sawa?
Halafu nimekumbuka! Wewe jamaa ni mnafiki sana.
Timu ikianza kufanya vibaya tu, unaanza yale majungu yako dhidi ya viongozi wa timu, na baadhi ya wachezaji.

Sasa hivi unajifanya kusifia na kujipendekeza.
 
Back
Top Bottom