Chuma chenyewe ndio hicho cha kigana🫠
Yaani GENTAMYCINE na akina Magori pamoja na Mafia wengine akina Nkwabi na Idi tuweke Silaha zetu chini na turejee Kuipambania Simba SC yetu kwa kutumia ule ule UMAFIA wetu unaoogopeka na Washamba wa Mafurikoni halafu Isisajili vyema, isifanye vyema na isichukue Ubingwa au kufika mbali CAFCC na CAFCL?
Kudadadeki, tumerudi Kazini wenye Kuujua UMAFIA wa Soka la Tanzania na sasa mtakuja Kutuomba Msamaha, sawa?
Yule ahmed ally kawageuza kama machizi makoloHahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hahaaaaaaaaaaaa...
Kama ule wa muhasibu okwi boban sunzuKazi yetu kutunza NYUZI kama hizi.
Mnasherehekea nini?😃😃😃 Simba raha sana hatunaga maombolezo...msiba tunazika fasta tunaendelea na sherehe...
Tunasheherekea kwamba miaka ile ya 70 uliyozaliwa Wewe Dar es Salaam nzima kulikuwa na Hospitali mbili tu za Ocean Road uliyozaliwa na Muhimbili na kwamba Hospitali ya Agha Khan niliyozaliwa Mimi GENTAMYCINE haikuwepo nchini na Mkoani Dar es Salaam miaka hiyo.Mnasherehekea nini?
Mpaka mwezi wa saba kichaa bado hakijatulia?Tunasheherekea kwamba miaka ile ya 70 uliyozaliwa Wewe Dar es Salaam nzima kulikuwa na Hospitali mbili tu za Ocean Road uliyozaliwa na Muhimbili na kwamba Hospitali ya Agha Khan niliyozaliwa Mimi GENTAMYCINE haikuwepo nchini na Mkoani Dar es Salaam miaka hiyo.
Yaani Mimi nina Wewe tu katika hili mpaka Ukiri kuwa ulitoa BOKO LA KARNE na kwamba huna unachokijua zaidi ya Misifa.
Masikini kama Wewe unitishe Mtu ambaye nipo Ikulu ya Nchi jirani na napewa Heshima ya VIP hadi Ubalozi unajua? Idiot...!!Mpaka mwezi wa saba kichaa bado hakijatulia?
Weka hapa birth certificate ficha jina inayoonesha umezaliwa Agha Khan nakupa dollar 1000 cash, au Bunda kuna Agha Khan?
Naunga mkono Hoja.Nyuzi kama hizi najikuta najaa matumain.
Tupate na mtu wa hamasa pale simba basi tu tunafufuka upya.Ahmed ally anaonekana kuwa mpole kazidiwa kwa kiasi na hako katoto ka utopolo.
Kuondoka kwa Chama...Mnasherehekea nini?
Nyooo, moyoni mnalia.Kuondoka kwa Chama...
Tumlilie mtu tulishamtumia miaka 6??? Chukueni babu huyo mnywe gahawa...Nyooo, moyoni mnalia.
Yeah yeahKama ule wa muhasibu okwi boban sunzu