Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Aiseee hapa nilipo nimeboreka sana
Kuna dada tupo tunafanya group discussion lakini cha ajabu kaachia ushuzi bila hata kuona haya yani kama vile hakijatokea kitu
Nimeshindwa kuvumilia kwa kweli imenibidi nije chonjo nije kumuanzishia mada kwa kweli
Kama harufu ya ushuzi ningeweza kuirecord ninge record halafu ningewatumia, yani unanuka balaaa
Aaaaaargh ,wenye tabia hizi muache jamani mnakera ukisikia ushuzi umekubana nenda chooni ujambe tani yako au laah nenda pembeni uuachie bila kuleta bugudha yoyote kwa wengine
,bila hivyo mtaaibika siku moja
Kuna dada tupo tunafanya group discussion lakini cha ajabu kaachia ushuzi bila hata kuona haya yani kama vile hakijatokea kitu
Nimeshindwa kuvumilia kwa kweli imenibidi nije chonjo nije kumuanzishia mada kwa kweli
Kama harufu ya ushuzi ningeweza kuirecord ninge record halafu ningewatumia, yani unanuka balaaa
Aaaaaargh ,wenye tabia hizi muache jamani mnakera ukisikia ushuzi umekubana nenda chooni ujambe tani yako au laah nenda pembeni uuachie bila kuleta bugudha yoyote kwa wengine
,bila hivyo mtaaibika siku moja