Wenye tabia hizi tazama hapa madhara yake

Wenye tabia hizi tazama hapa madhara yake

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Aiseee hapa nilipo nimeboreka sana

Kuna dada tupo tunafanya group discussion lakini cha ajabu kaachia ushuzi bila hata kuona haya yani kama vile hakijatokea kitu



Nimeshindwa kuvumilia kwa kweli imenibidi nije chonjo nije kumuanzishia mada kwa kweli


Kama harufu ya ushuzi ningeweza kuirecord ninge record halafu ningewatumia, yani unanuka balaaa


Aaaaaargh ,wenye tabia hizi muache jamani mnakera ukisikia ushuzi umekubana nenda chooni ujambe tani yako au laah nenda pembeni uuachie bila kuleta bugudha yoyote kwa wengine
,bila hivyo mtaaibika siku moja
 
siku nyingine mkuu akirudia mpige ngumi moja ya usoni ya nguvu mchanechane na wembe mpige mateke ya tumbo muinue mkate nywele zake zote mnyoe upara kabisa halafu mpige picha utuwekee kwenye uzii wa mrejesho
 
Hahaha Hahaha kujamba raha wee hasa mbele za watu
 
Mtoa mada,kama ningelikuwa Baraza ningekunyang'anya vyeti vyako vyote vya academic nakuvihifadhi sehem salama mpaka hapo utakapoweza kuwaza kama mtu mzima!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom