Wenye Uzoefu na kubet football tushauriane hapa

Wenye Uzoefu na kubet football tushauriane hapa

Pierre2017

Member
Joined
Apr 16, 2019
Posts
48
Reaction score
28
Habari!Nimekutana na jamaa mtandaoni anasema anauza matokeo ya mechi zilizonunuliwa,yani kuna mechi matokeo yake yanafamahika kabla hazijaingia uwanjani naskiaga hii kitu ipo kwa wenzetu wa nchi za njee kwasbb wao wanawekeza pesa nyingi kwenye huu mchezo..swali langu ni je haya ni ya kweli!?kuna mtu yeyote amewahi kununua na matokeo yakawa kweli!??au ni wezi wa mtandaoni km wezi wengine tu
 
Matapeli awo achana nao wajina!
Habari!Nimekutana na jamaa mtandaoni anasema anauza matokeo ya mechi zilizonunuliwa,yani kuna mechi matokeo yake yanafamahika kabla hazijaingia uwanjani naskiaga hii kitu ipo kwa wenzetu wa nchi za njee kwasbb wao wanawekeza pesa nyingi kwenye huu mchezo..swali langu ni je haya ni ya kweli!?kuna mtu yeyote amewahi kununua na matokeo yakawa kweli!??au ni wezi wa mtandaoni km wezi wengine tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahuni hao, ila pia kama ndio unajifunza kubeti kwa ushauri wangu achana na hiyo biashara...kwa mtazamo wangu.
Habari!Nimekutana na jamaa mtandaoni anasema anauza matokeo ya mechi zilizonunuliwa,yani kuna mechi matokeo yake yanafamahika kabla hazijaingia uwanjani naskiaga hii kitu ipo kwa wenzetu wa nchi za njee kwasbb wao wanawekeza pesa nyingi kwenye huu mchezo..swali langu ni je haya ni ya kweli!?kuna mtu yeyote amewahi kununua na matokeo yakawa kweli!??au ni wezi wa mtandaoni km wezi wengine tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza labda nkwambie tu hakuna kutu Kama hicho kwa afeika yetu ,if unahitaji kushinda bet basi kweli fuatilia football na uelewe vzr timu tofauti tofauti na takwimu zake ,head to head na timu nyingine ,fitness ya wachezaji hao kwa Sasa ,yaani in general football uielewe vizuri cyo kuotea otea tu ndgu .na kingine huku cc tumeshazoea stress hatuna huku mfano mm wiki ilitopita nilibeti game zangu sita ,zikatiki 5 isipokuwa moja tu ambayo ilikuwa n oreston vs Norwich ambapo.l mm nlimpa preston akiwa nyumbani kwake kilichotokea Norwich alimkandamiza za kutosha Preston ,nkapoteza zaidi ya million 3 coz nliweka elfu 20 ivi ,
So nkwambie tu huu mchezo hauitaji hasira tuliza kichwa chambua mechi vzr ,elewa timu vzr ,then uweke mkeka wako usimtegemee mtu over ,,,,,,,na usibet ukitarajia utoke kinaisha chukulia n mchezo tu utawin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom