kuna rafiki yangu wa karibu, ambaye anataka kuoa, lakini majuzi aliniomba ushauri kama ndoa yake itakuwa salama iwapo yeye si "fisrt lover" wa mchumba wake! Anakuwa na wasiwasi kwa kuwa amewahi kuambiwa kwamba mwanamke hawezi kustop permanently an affair na mpenzi wa kwanza under normal circumstance. Je, hii inawezekana? Commends from women are highly trusted.
acha kuishi kwa historia kwa dunia ya leo, huwezi kupata mnwanamke utakae kuwa wa kwanza wewe kwa 95.7% you have to close your masikios for the old storiesKuna rafiki yangu wa karibu, ambaye anataka kuoa, lakini majuzi aliniomba ushauri kama ndoa yake itakuwa salama iwapo yeye si "Fisrt Lover" wa mchumba wake! Anakuwa na wasiwasi kwa kuwa amewahi kuambiwa kwamba mwanamke hawezi kustop permanently an affair na mpenzi wa kwanza under normal circumstance. Je, hii inawezekana? commends from women are highly trusted.
HUYU NAE ATAKUFA NA WIVU
mwambie aoe tu kwani wote waliokwenye ndoa wale walionao ni mafesti lover?
itamchukua muda mrefu kidogo kupata brand new...je yeye ni brand new as well? cha muhimu ni mapenzi ya kweli, si lazima huyo binti arudi kule alikoacha sana sana awe mbunifu tu, wanawake we are very easy to appreciate true love na kuwa waaminifu.
yeye ni brand new???
mtu mpaka wameachana thats means it couldnt work out, walishindwana ndo maana wakaachana!!!
napingana kabisa na suala zima la kusema mwanamke huwa 'haachi'. tena sisi tukitapika tumetapika huwa haturudishii uchafu tumboni!!!!
Kuna rafiki yangu wa karibu, ambaye anataka kuoa, lakini majuzi aliniomba ushauri kama ndoa yake itakuwa salama iwapo yeye si "Fisrt Lover" wa mchumba wake! Anakuwa na wasiwasi kwa kuwa amewahi kuambiwa kwamba mwanamke hawezi kustop permanently an affair na mpenzi wa kwanza under normal circumstance. Je, hii inawezekana? commends from women are highly trusted.
itamchukua muda mrefu kidogo kupata brand new...je yeye ni brand new as well? cha muhimu ni mapenzi ya kweli, si lazima huyo binti arudi kule alikoacha sana sana awe mbunifu tu, wanawake we are very easy to appreciate true love na kuwa waaminifu.
pia very easy kuachia mtunda matunda yaliwe!!!!!!! tetteteteeeeee
acha kuishi kwa historia kwa dunia ya leo, huwezi kupata mnwanamke utakae kuwa wa kwanza wewe kwa 95.7% you have to close your masikios for the old stories
waliokuwa wapenzi wetu wameolewa na tuliokuwa wapenzi wao tumeoa na hakuna kitu cha namna hiyo, akishindwa huyo umeoa mke wa mtu, kwa dunia ya sasa uanapokuwa na wake watatu ujue kuwa una waume wenza wawili,
hapo unafunika bovu tu, ungejua watu wanavyojinafasi na mademu wao wa zamani, ungewaomba radha wanaJF woote kwa kuwafanya watoto wadogo leo
HUYU NAE ATAKUFA NA WIVU
mwambie aoe tu kwani wote waliokwenye ndoa wale walionao ni mafesti lover?