Umeuliza maswali mawili ,biashara ya nguo vijijini na mahali pa kupata mzigo wako!
Maswali haya yanadhihirisha kuwa hujui unachotaka kufanya kwa undani au pengine umeshindwa kujieleza!
Lqbda nisaidie kujibu LA pili!
Kama unataka nguo za jumla ni Kariakoo,inategemeana sasa ni nguo gani unataka!