Wenye vibamia tukutane hapa

Remote ya dstv IPI za jamani au hizi za kisasa, urefu wa kiganja cha mkono hicho ni kitamu mno mno kuliko aina zote za dushe, unene sio Nene sana, lkn mfano wa karoti hizi kubwakubwa kiasi ndo nayosemea mimi
Hivi ni kiganja ukijumlisha na kidole cha kati?au kiganja peke yake ile sehemu ya kufinyangia tonge...au kiganja plus vidole...unamaanisha lipi?
 
Nyie msio na kimamia mnatujazia thread yetu, mtupishe tunataka kujadili yetu, maana tunanyanyapaliwa...
 
Ipo siku vibamia vitakua dili, dunia hii ya ajabu sana... Au kutokana na ukubwa wa mbunye kuongezeka ukubwa Kadri miaka inavyoenda, tutegemee wote tutaonekana kuwa na vibamia tu!.. Maana vibamia vilikuwepo tangu zamani, mbona hatukusikia malalamiko meengi kama wadada wa leo wanavyolalamikia,? Ujue siku hizi wadada mbunye zimetuzidi, zimetanuliwa sana.
 
Poleni sana wenye vibamia. Tafuteni saizi zenu ili mpunguze kusemwasemwa.

Bahari za Atlantic mtuachie sisi Mabaharia wa Meli ya Titanic
Tatizo ni kuwa huwezi kujua saizi yako kwa kuangalia kwa nje. Wakiingia ndo wanakutana na bahari. But haya yote chanzo ni wanaume na solution ni dadaz
 
Huu ndo ukweli
 
Unaweza kujua saizi ya papuchi kwa kuangalia?
 
Bora tungekua kuku tu. Maana haina haja ya kuwa na mtalimbo. Mkigusanisha vinyeo, kitu mwaaa.

Tunateseka sana wenye mbilimbi
Mkuu umeongea kwa masikitiko hadi nimekutumia. Pole sana
 
Tupe maujuzi kimtambua kama ana papichi ndogo kwa kumuangalia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…