Wenye vipara 'team ualaza' tufike hapa tupeane mbinu za kuihandle hali yetu

Wenye vipara 'team ualaza' tufike hapa tupeane mbinu za kuihandle hali yetu

chilumendo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
3,079
Reaction score
3,550
Mimi ni mhanga wa kuwa na ualaza hivyo nalazimika kunyoa kila baada ya wiki moja ili kiwalaza changu kisionekane.
Tupeane ushauri namna ya kuhandle hali hiyo kwa wale wasiopenda kiuwalaza
 
Nipo kwenye mwendokasi naja fasta
Para.jpg
 
Back
Top Bottom