Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Huwa kuna miongozo yao (mkataba ) ambao wametaja muda wa kulipwa baada ya kuwasilisha madai yako (claims). Sijui kama kila kituo (dispensary, health center au hospital) inakuwa na muda wake lakini nachojua ni kwamba kuna ambao malipo hulipwa baada ya siku 45 hadi 60 toka yanapowasilishwa kwenye ofisi zao.Wamiliki wa dispensary zinazopokea BIMA ZA NHIF huwa mnalipwa baada ya muda gani?
siku 60 miezi miwili si unafirisikaHuwa kuna miongozo yao (mkataba ) ambao wametaja muda wa kulipwa baada ya kuwasilisha madai yako (claims). Sijui kama kila kituo (dispensary, health center au hospital) inakuwa na muda wake lakini nachojua ni kwamba kuna ambao malipo hulipwa baada ya siku 45 hadi 60 toka yanapowasilishwa kwenye ofisi zao.
Ndo lengo laosiku 60 miezi miwili si unafirisika
daahNdo lengo lao
Siku 60 mbona chache sana kwa namna wanavyolipa ?siku 60 miezi miwili si unafirisika
siku ngap kakaSiku 60 mbona chache sana kwa namna wanavyolipa ?
Inaweza vuka hata miezi mitatu hivyo kuepuka kuyumba jitahidi uwe na mtaji mkubwa kidogo au mjitahidi kupeleka madai mapema tarehe 1 ,2 ..hapo itasaidiasiku ngap kaka
Mara ya mwisho tumelipwa mwaka jana mwezi wa 8siku ngap kaka
miezi 12 ishapitaMara ya mwisho tumelipwa mwaka jana mwezi wa 8
Kama mdau hapo chini kasema wamelipwa mwaka jana wa 8 yaan mwaka mzima hujalipwa duuhInaweza vuka hata miezi mitatu hivyo kuepuka kuyumba jitahidi uwe na mtaji mkubwa kidogo au mjitahidi kupeleka madai mapema tarehe 1 ,2 ..hapo itasaidia
Sasa hiyo ni biashara au vipi?, na tatizo yenyewe ya hovyo tuMara ya mwisho tumelipwa mwaka jana mwezi wa 8
Hamna faidaUnapata faida gani mkuu, kwa bei zile hasa kwenye dawa?
Solution sitisha huduma zao na wape taarifa watalipa kidogo
Mtakuwa na matatizoMara ya mwisho tumelipwa mwaka jana mwezi wa 8
Mimi nimepata muongozo wao ,nimesoma nikaishiwa nguvu, yaani PCM syrup wanalipa 1100,yaani Napata faida chini ya bati, aweeeHamna faida
Zipo.Mimi nimepata muongozo wao ,nimesoma nikaishiwa nguvu, yaani PCM syrup wanalipa 1100,yaani Napata faida chini ya bati, aweee
Bei zimerekebishwa kidogo mkuuUnapata faida gani mkuu, kwa bei zile hasa kwenye dawa?
Solution sitisha huduma zao na wape taarifa watalipa kidogo