The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
Thank youKaribu sana JamiiForums...
ThanksWelcome
Kivipi? Humu hakuna reality?Karibu kwenye fantasy world,the world of imagination!!
Kivipi? Humu hakuna reality?
SoonU n a g a r i ?
Asante sanaKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Duh..!kama Kuna wadada Humu jamani,
Nipokeeni namimi Chamani,
Mimi rijali mzoefu chumvini,
Clamyidia nipokeeni.
AsanteDuh..!
Karibu jf.
ThanksKaribu sana mkuu
Nachelea kukukaribisha kwa jinsi ulivyo mzoefu chumvini. Pia jina hilo linaakisi ni sehemu gani unaishi hasa humo chumvini.Hodi hodi uwanjani,
Wenyeji nifungulieni,
Clamyidia mi mgeni,
Wenyeji nipokeeni.
Ninagonga mlangoni,
Majirani tusiwaamsheni,
Clamyidia nifungulieni,
Wenyeji nipokeeni.
Naskia JF sio gengeni,
Hakuna stori za vijiweni,
Great thinkers wamesheheni,
Clamyidia nipokeeni.
Insta na FB ndio kwetu mtaani,
ila nilitoroka Jana jioni,
Nilichoka ulimbukeni,
WanaJF nipokeeni.
kama Kuna wadada Humu jamani,
Nipokeeni namimi Chamani,
Mimi rijali mzoefu chumvini,
Clamyidia nipokeeni.