Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,642
Wana Bodi Amani ya Bwana iwe Nanyi.
Nataka ni badilike kimuonekano wa kimavazi, niko Arusha ni wapi naweza kupata makoti mazuri ya Suti ya bei nzuri
kuvalia na kofia aina ya Spire mara moja moja!
mimi ni kijana wa Miaka 20+ nataka niwe Diplomatic kimavazi
Nataka ni badilike kimuonekano wa kimavazi, niko Arusha ni wapi naweza kupata makoti mazuri ya Suti ya bei nzuri
kuvalia na kofia aina ya Spire mara moja moja!
mimi ni kijana wa Miaka 20+ nataka niwe Diplomatic kimavazi