Wenyeji wa Masasi Mtwara naombeni ufafanuzi wa haya

Wenyeji wa Masasi Mtwara naombeni ufafanuzi wa haya

Turi

Member
Joined
Jun 11, 2024
Posts
40
Reaction score
95
Wakuu kwema.!

Wiki ijaona natarajia kusafiri kwenda wilaya tajwa hapo juu natokea mvomero, Morogoro, nitakuwepo huko kwa siku 21

Naomba kuuliza machache,
Usafiri wa kwenda huko unaanzia Moro ama Dar kama natokea mvomero? Gari gani zinaenda huko? Nikiondoka asubuhi naweza kufika siku hiyo hiyo?

Nauli zikoje? Bajeti yangu ya chumba ni kati elf30 - 50 nitapata kweli?

Hali ya hewa na watu wake je?

Naombeni majibu wakuu.
 
Kiongozi karibu masasi.....kwa kutoka Moro Sina uzoefu sana ..but ukifika dar Kuna magari ya kusini mengi tu...mfano BARAKA express...maning nice.....
 
Dar to masasi kuna baraka expres na buti la zungu ndio wamezoe hizo

Mazingira ni yale yale tu kuhusu nyumba za wageni pia sio ghali sana kama Huna mambo mengi hata 10k na 15k per day unaishi tu fresh

Nauli dar masasi ni 42k hadi 40k
 
Hali ya hewa ni nzuri sana maana hakuna joto Kali Wala baridi Kali but jua linachoma vizuri wakati wa mchana, kuhusu Lodge, Masasi ndio Mji unaoongoza kuwa na lodge nyingi na nzuri kwa Huku Kusini.
Kwa Sasa sipo Masasi but karibu sana Masasi
 
Karibu uje hapa KIBO upate kitimoto na Bia,,, afu shuka Kwa Adam viaz upate Ile kitu
 
LIKUD tangu aende ntwara hata jf kaisahau.... Kweli wamakonde sio wa mchezo mchezo
 
Back
Top Bottom