Kaluluma
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 468
- 619
Habari za muda huu wakuu,
Kwa wenyeji au waliowahi kufika Tabora mjini,
Ni ukumbi upi unafaa kwa ajili ya semina itakayokuwa na idadi ya watu wasiopungua 150 mpaka 300 hapo,
Nimepewa jukumu la kutafuta ukumbi kwa ajili ya shughuli fulani.
Natanguliza shukrani wakuu🙏
Kwa wenyeji au waliowahi kufika Tabora mjini,
Ni ukumbi upi unafaa kwa ajili ya semina itakayokuwa na idadi ya watu wasiopungua 150 mpaka 300 hapo,
Nimepewa jukumu la kutafuta ukumbi kwa ajili ya shughuli fulani.
Natanguliza shukrani wakuu🙏