Wenyeji wa Tabora Mjini, ukumbi upi unafaa kwa ajili ya semina?

Wenyeji wa Tabora Mjini, ukumbi upi unafaa kwa ajili ya semina?

Kaluluma

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
468
Reaction score
619
Habari za muda huu wakuu,

Kwa wenyeji au waliowahi kufika Tabora mjini,

Ni ukumbi upi unafaa kwa ajili ya semina itakayokuwa na idadi ya watu wasiopungua 150 mpaka 300 hapo,

Nimepewa jukumu la kutafuta ukumbi kwa ajili ya shughuli fulani.

Natanguliza shukrani wakuu🙏
 
Mimi sio mwenyeji wa Tabora ila jibu lazima litakuwa ni "Hakunaga"
 
Back
Top Bottom