Ha!Ha!Ha!ha!ha!ha!....hapo Tanga hotel.....ni maarufu kwa vikao vya harusi, send off, ''chicken'' party etc! ....na ofcourse weekend kuna live band pale ndani......but si pazuri kwa kulala ati!
Tanga Hotel jamani acheni kabisa. Raha za Tanga Hotel hazikamiliki bila Mkongwe wao mzee Hiza (Fax Band). Kulikua na company nzuri sana za jamaa wa Tanga cement pamoja na wataalam wachache toka Bombo hospital. Wapi Bandari? (Palalalapalalala palalapalaa!!!) "Najuta,ni jina langu lenye rangi ya chungwa....nachoka kabisa!" till dawn,acha bana!
nilichogundua ni kuwa weeengi kama sio wote sio wenyeji Tanga.
Mbu kama sijachelewa waambie waende Nyinda mpya ipo Bombo area sio Raskazone (inapakana) au Regal naivera ipo Bombo area.
Hizo hotel zipo safi sana. Mkonge ipo juu yao ila labda hizo huduma zilizolalamikiwa. Mengine wamesema na kutia chumvi.
Kujirusha mie sijui maana umri umeenda.