NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Hawa watu nimeona wanasaga soli za viatu wakiwa na makada wa chama wa CCM wilaya na mkoa, hawana posho wala mishahara na ndio engine ya utekelezaji wa ilani yetu ya uchaguzi!!
Ni lini Serikali itaanza kuziona juhudi zao na kuwalipa mishahara na posho!!?
Mheshiniwa ukishindwa wewe kuwalipa sidhani kama Kuna mwingine anaweza kuja kulipa labda Mimi.
Hebu liangalie hilo hao ndio wanaleta kura zetu zinazotupa Dola Kila uchaguzi.
Mungu ibariki Tanzania.
Ni lini Serikali itaanza kuziona juhudi zao na kuwalipa mishahara na posho!!?
Mheshiniwa ukishindwa wewe kuwalipa sidhani kama Kuna mwingine anaweza kuja kulipa labda Mimi.
Hebu liangalie hilo hao ndio wanaleta kura zetu zinazotupa Dola Kila uchaguzi.
Mungu ibariki Tanzania.