Wenzangu mpoo!

Kibulu

Member
Joined
Aug 17, 2012
Posts
58
Reaction score
15
Wale ambao hawajaomba mkopo kama mimi mpo mi kwenye akauti yangu nshaekewa mil 2 ya kuanzia sio lazima wote tutegemee mkopo watanzania fanyeni kazi kwa bidii kutegemea mkopo kunalemaza!
 
mhh mkuu heri yako....OMBA MUNGU IWE HIVYO DAIMA!!!
 
Me cjaapply lakn nina uhakika wa kupata mkopo,tena toka helsb.chezea bongo weye..
 
Unatia hasira kinoma!aaaaargh!hujaomba na utapata mkopo!nadhan huna kgezo ata k1!achen ufsad na huyo ndgu yako wa bod
 
Unatia hasira kinoma!aaaaargh!hujaomba na utapata mkopo!nadhan huna kgezo ata k1!achen ufsad na huyo ndgu yako wa bod

vigezo ninavyo vyote,ila ckuapply tu makusudi,lakn ndo ivo tena nshalambwa 90% zangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…