Wenzetu(China) wanafanyia majaribio treni ya umeme yenye mwendo wa Km 450/saa...Vipi sisi na nyungo na fisi zetu?

Wenzetu(China) wanafanyia majaribio treni ya umeme yenye mwendo wa Km 450/saa...Vipi sisi na nyungo na fisi zetu?

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
368
Reaction score
556
Nimeikuta habari hii mtandaoni
Kwenye Facebook

Ajabu watu wakaanza mahesabu...mara Dar Mbeya masaa 2...mwingine Dar Arusha masaa 3 nk

Mbona tunatamani vya watu hali tuna vya kwetu...Fisi wetu na nyungo zetu za usiku hazitutoshi?

Ukweli ni kuwa kizuri chajiuza...Acha tuendelee kutopea kwenye mambo marahisi kama Simba na Yanga...Diamond na Zuchu...hekaya za ushirikina kama majini na wachawi...na miujiza ya manabii na mitume...tulipo tuko pazuri na salama tuendelee kuvuta shuka
 

Attachments

  • FB_IMG_1741847061259.jpg
    FB_IMG_1741847061259.jpg
    64.5 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1741847071200.jpg
    FB_IMG_1741847071200.jpg
    54.5 KB · Views: 1
Wenzetu. Hawa chezei Muda wameshajua Muda ni Kito cha thamani sana. Ukikichezea Umechezea Umechezea maisha yao.

Africa kupoteza Muda ndio falsafa ndio maana maendeleo yamekua kama Kono Kono pamoja na rathilimali nyingi tulizokua nazo hatuja gundua Muda ndio baba wa maendeleo.
 
Wenzetu. Hawa chezei Muda wameshajua Muda ni Kito cha thamani sana. Ukikichezea Umechezea Umechezea maisha yao.

Africa kupoteza Muda ndio falsafa ndio maana maendeleo yamekua kama Kono Kono pamoja na rathilimali nyingi tulizokua nazo hatuja gundua Muda ndio baba wa maendeleo.
Kabida
 
Back
Top Bottom