Wenzetu. Hawa chezei Muda wameshajua Muda ni Kito cha thamani sana. Ukikichezea Umechezea Umechezea maisha yao.
Africa kupoteza Muda ndio falsafa ndio maana maendeleo yamekua kama Kono Kono pamoja na rathilimali nyingi tulizokua nazo hatuja gundua Muda ndio baba wa maendeleo.