Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Wale tunaoishi na Samia.
Chakula cha shikamoo. Je, mshahara una chochote kitu October?
Chakula cha shikamoo. Je, mshahara una chochote kitu October?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndege JOHN mbona unanitisha mkuuHali sio hali asee
Mpaka sasa mafungu hayajaja maofisini taasisi za wizara ya maji na ujenzi hazijaletewa fedha hivyo hakuna activities zozote ni majanga kidogo afya na ofisi ya takwimu wanakimbiza kazi...mishahara yenyewe midogo hii tushaikopea inakuja unabaki na 20000 tu duh Mungu atuokoendege JOHN mbona unanitisha mkuu
Mkuu we unauwazaga mshahara?me huwa nawaza per diem ndo kidogo ziniokoe nazo majanga tuko robo ya pili ya mwaka wa fedha na hakuna hela duh kwenye taasisiHivi kale ka July increment kalipata janga gani
Au ndio tunasubiri elninoMpaka sasa mafungu hayajaja maofisini taasisi za wizara ya maji na ujenzi hazijaletewa fedha hivyo hakuna activities zozote ni majanga kidogo afya na ofisi ya takwimu wanakimbiza kazi...mishahara yenyewe midogo hii tushaikopea inakuja unabaki na 20000 tu duh Mungu atuokoe
Duh aisee inasikitisha halafu unapata habari serikali yailipa billion 75 kampuni ya nje kwa kuvunja mkataba..wakati mfuko unagawa chini ya billion kwa mwaka wa fedha kwenye taasisi yenu makusanyo ya ndani yamedodoraAu ndio tunasubiri elnino
Usidanganywe serikali haijawahi kukosa pesa hata siku moja na haitokuja kutokea haswa kwa nchi ombaomba hizi.Mkuu we unauwazaga mshahara?me huwa nawaza per diem ndo kidogo ziniokoe nazo majanga tuko robo ya pili ya mwaka wa fedha na hakuna hela duh kwenye taasisi
Mm sikoseagi. Mwigulu na wenzie ni wahuni. Wanamdanganya mama. Na Kwa nini makam was rais ananyamaza??Usidanganywe serikali haijawahi kukosa pesa hata siku moja na haitokuja kutokea haswa kwa nchi ombaomba hizi.
Mkuu unabisha nini ulizia regional office zote kwa ma RM ila pia inategemea na mfuko husika mimi nasemea kwa miradi ya p4r chini ya world bank haswa bado hawajaingiziwa pesa labda kama kila mkoa unaingiziwa kwa awamu yakeUsidanganywe serikali haijawahi kukosa pesa hata siku moja na haitokuja kutokea haswa kwa nchi ombaomba hizi.
Kwa sasa wanaenjoy ni NBS sijui kwanini labda pengine data zao zitatumika kwenye uchaguziTunakula kwa macho
Viongozi wa mikao mpaka halmashauri wengi bi waongo na wezi, kazi kuzuia posho za watu kwa kisingizio cha kucheleweshwa pesa ila utawaona wapo kweny ziara zao .Mkuu unabisha nini ulizia regional office zote kwa ma RM ila pia inategemea na mfuko husika mimi nasemea kwa miradi ya p4r chini ya world bank haswa bado hawajaingiziwa pesa labda kama kila mkoa unaingiziwa kwa awamu yake
Ila unalosema kweli inawezekana kabisa na ndio maana wanakuwa wasiri sana na wahasibu wao kusingizia mfumo wakati wao kutwa semina mara iringa mara dar mara dom wanatoa wapi pesa za safari?Viongozi wa mikao mpaka halmashauri wengi bi waongo na wezi, kazi kuzuia posho za watu kwa kisingizio cha kucheleweshwa pesa ila utawaona wapo kweny ziara zao .
Kuna michezo Michafu inafanyika hata kipind cha chuo lile bum la kusain walikuwa wanajifanya limechelewa ila ni wahuni.
Kiufupi usiamini moja kwa moja kama bajeti ilishapita na mgawanyo tayar.
Duuuh kumbeKwa sasa wanaenjoy ni NBS sijui kwanini labda pengine data zao zitatumika kwenye uchaguzi
Kwamba tumefanikiwa kuongeza maseremala kutoka laki 4 mpaka laki 5..makofi kwa mama
Kuna dogo ana miaka mitatu kazini wa nbs tayari ana nyumba mbili lenta na gari 3.ukweli na sii uwongo
Alipoingia Magufuli madarakani kweny taasisi nyingi walikuja na skendo kwamba pesa zimebanwa ila ukweli wajanja wachache walikuwa wanatumia mwanya ili kupiga pesa.Ila unalosema kweli inawezekana kabisa na ndio maana wanakuwa wasiri sana na wahasibu wao kusingizia mfumo wakati wao kutwa semina mara iringa mara dar mara dom wanatoa wapi pesa za safari?
How mkuu!??Wale tunaoishi na Samia.
Chakula cha shikamoo. Je, mshahara una chochote kitu October?
Mzee na ilivyo mzee wa ulabu hiyo si unakata kvant kubwa tu ,na msosi imeisha,utang'oa vipi milupoMpaka sasa mafungu hayajaja maofisini taasisi za wizara ya maji na ujenzi hazijaletewa fedha hivyo hakuna activities zozote ni majanga kidogo afya na ofisi ya takwimu wanakimbiza kazi...mishahara yenyewe midogo hii tushaikopea inakuja unabaki na 20000 tu duh Mungu atuokoe