Wenzetu walivobanwa: Mauaji ya madiwani, risasi kwa viongozi wa upinzani, kukamatwa kwa waimbaji na wanahabari, kufungwa kwa mitandao ya kijamii

Status
Not open for further replies.
Hatari kwa kweli, subiri watakavyokuja na mipovu humu kutetea, maana huwa wapo kwenye mitandao wakitegeshea kusafisha kila uovu unaoanikwa.
 
Ha ha ha haaaa.. Mazee hivi viatu vinatubana mno, kwakweli "Morris I surrender", hatuna amani kabisa.
 
Ha ha ha haaaa.. Mazee hivi viatu vinatubana mno, kwakweli "Morris I surrender", hatuna amani kabisa.
Haha! [emoji1] Bahati mbaya ni kwamba Mollis huwa haelewi misamiati kama kusalenda. [emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…