Wenzetu wamefiwa...

Mimi nilidhani Yo Yo yuko bongo (though najua hayuko bongo)...Lol

I hope watamkatalia kurudi kiwanja. Na asirudi tena JF
Acha ngebe bwana mdogo.....nasikia unauza maneno kwa mashori ati nimekufa.....
 
Wewe ulimpenda lakini Bwana kampenda zaidi,kumbuka kazi ya Mungu haina makosa. Amen.Tuko pamoja wakati huu wa majonzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…