safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Waswahili ama waafrika tuna ujinga wa kuwaza "hakuna kitakachotokea" ndio maana mambo mengi tunafeli.
Wakati wenzetu walioendelea wanawaza kwamba "kitatokea kitu".
Mswahili haoni shida kuendesha gari hajafunga mkanda hawazi kabisa kwamba endapo ikitokea ajali bila kufunga mkanda naweza nikarushwa kutoka kwenye siti yangu mpaka nje na nikafa,yeye hawazi.
Wenzetu wakiingia kwemye gari wako makini kufunga mikanda kwa sababu wanawaza kwamba endapo itatokea ajali hapa huu mkanda utanisaidia kwa namna kadhaa wa kadhaa.
Mswahili anaamini kwamba kuwaza endapo kitatokea kitu kibaya basi kuwaza huko ni uchuro kabisa hivyo tachukui tahadhari juu ya hatari ambayo pengine inaweza kutokea.
Mswahili sio ajabu akakwea pikipiki bila kuvaa helmenti akiamini hakuna kitakachotokea huku akijifariji kwamba kuwaza kutokea jaali ni ichuro hivyo hachukui tahadhari,matokeo yake aji ya kawaida ikitokea anapasuka kichwa naaondoka.....
Wenzetu helmeti wanalipa kipaumbele kwa kuamini sana kwamba lolote linaweza kutokea.
Sehemu ya biashara kubwa za watu wanafanya kisha hakuna chanzo chochote cha maji cha uhakika kujilinda na majanga ya moto huku ni kuwaza kwamba hakuna kitakachotokea tuko safe.
Matokeo yake matatizo ya moto yakitokea inakuwa ngumu kucontrol moto usisambae na lawama atarushiwa kila mtu wakati kimsingi kuna mtu ndio chanzo kikuu.
Kuna tajiri alijenga ghorofa kama sikosei,madirisha kayapiga ulinzi mkali wa nondo na full security kiasi kwqmba mwizi hapiti,siku nyumbaa iungua moto watu hawajui wapite wapi kumuokoa jamaa aliungua na familia yake kama maskhara.
Watu hawafikirii kabisa kwamba sawa unaepusha jambo fulani lakini kuna jambo lingine endapo litatokea.
Unapoweka ulinzi dhidi ya maadui wa nnje wasiingie ndani,je unahakikishaje kwamba wewe wakitokea maadui wa ndani utaweza kutoka nje haraka na kujiokoa ?
Mswahili anaamini kwamba maisha yako safe sana,nothing will happen na anything kikihappen anahaha sana kutafuta msaada lakini it's too late.
Mwisho naomba kila mmoja ahakikishe kwamba pale alipo anakuwa ameweka tahadhar dhidi ya majanga ya kawaida endapo yatatokea basi aweze kuyadhibiti na kuepusha madhara zaidi.
Wakati wenzetu walioendelea wanawaza kwamba "kitatokea kitu".
Mswahili haoni shida kuendesha gari hajafunga mkanda hawazi kabisa kwamba endapo ikitokea ajali bila kufunga mkanda naweza nikarushwa kutoka kwenye siti yangu mpaka nje na nikafa,yeye hawazi.
Wenzetu wakiingia kwemye gari wako makini kufunga mikanda kwa sababu wanawaza kwamba endapo itatokea ajali hapa huu mkanda utanisaidia kwa namna kadhaa wa kadhaa.
Mswahili anaamini kwamba kuwaza endapo kitatokea kitu kibaya basi kuwaza huko ni uchuro kabisa hivyo tachukui tahadhari juu ya hatari ambayo pengine inaweza kutokea.
Mswahili sio ajabu akakwea pikipiki bila kuvaa helmenti akiamini hakuna kitakachotokea huku akijifariji kwamba kuwaza kutokea jaali ni ichuro hivyo hachukui tahadhari,matokeo yake aji ya kawaida ikitokea anapasuka kichwa naaondoka.....
Wenzetu helmeti wanalipa kipaumbele kwa kuamini sana kwamba lolote linaweza kutokea.
Sehemu ya biashara kubwa za watu wanafanya kisha hakuna chanzo chochote cha maji cha uhakika kujilinda na majanga ya moto huku ni kuwaza kwamba hakuna kitakachotokea tuko safe.
Matokeo yake matatizo ya moto yakitokea inakuwa ngumu kucontrol moto usisambae na lawama atarushiwa kila mtu wakati kimsingi kuna mtu ndio chanzo kikuu.
Kuna tajiri alijenga ghorofa kama sikosei,madirisha kayapiga ulinzi mkali wa nondo na full security kiasi kwqmba mwizi hapiti,siku nyumbaa iungua moto watu hawajui wapite wapi kumuokoa jamaa aliungua na familia yake kama maskhara.
Watu hawafikirii kabisa kwamba sawa unaepusha jambo fulani lakini kuna jambo lingine endapo litatokea.
Unapoweka ulinzi dhidi ya maadui wa nnje wasiingie ndani,je unahakikishaje kwamba wewe wakitokea maadui wa ndani utaweza kutoka nje haraka na kujiokoa ?
Mswahili anaamini kwamba maisha yako safe sana,nothing will happen na anything kikihappen anahaha sana kutafuta msaada lakini it's too late.
Mwisho naomba kila mmoja ahakikishe kwamba pale alipo anakuwa ameweka tahadhar dhidi ya majanga ya kawaida endapo yatatokea basi aweze kuyadhibiti na kuepusha madhara zaidi.