Wenzetu wanapoajiri graduates sisi kipaumbele ni SUMA JKT

Wenzetu wanapoajiri graduates sisi kipaumbele ni SUMA JKT

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ajira nyeti makwetu kigezo ni JKT na hasa SUMA JKT.

Wenzetu wana lenga graduates:

DCI targets graduate officers for new crime prevention unit

Jamii mbili hizi zinafanana kijiografia. Wote ni katika jumuiya ya Afrika mashariki.

Bila aibu makwetu tuko busy tukikenua na kuwanyanyapaa graduates wetu kuwa ni vilaza. Kwani ni katika nyanja ipi basi tulipo na nafuu hata?

Tulingane vipi na jamii zenye kutambua thamani ya elimu?

Lililokuwa taifa la kupigiwa Mfano halipo tena

Nchi si tumeifikisha huku na kisha kuuvaa unyani kuwanyanyapaa wengine?
 
Graduates hawa hawa wenye UWEZO MDOGO wa AKILI hata lugha ya KIINGEREZA HAWAJUI ?
jamiiforums_1669032344372636.jpg
Screenshot_20221122-132930_Chrome.jpg
 
Graduates vilaza wa kazi gani kwenye majeshi...
Majeshi yanaitaki majasiri asilia...mfano akina majaliwa & co,
Vijana 10 wa mwanzo kuifikia ile ndege woote ningewaingiza jeshi kama wangetaka na ningekuwa mkuu wa hizo levo.
Kuna kujana wa kimasai aliwafukuza fisi wanne waliokuwa wamemkwapua mtoto mpaka akafanikiwa kumuokoa mtoto akiwa hai, na fisi mmoja akamuua. Hao ndio wajeshi.
Hao elites wachache unawachukua from private sector with live/ vividly exhibitions.
Mfano: cybercrime kuna natural talented vijana itisha local competitions utawakuta wengi
 
Graduates vilaza wa kazi gani kwenye majeshi...
Majeshi yanaitaki majasiri asilia...mfano akina majaliwa & co,
Vijana 10 wa mwanzo kuifikia ile ndege woote ningewaingiza jeshi kama wangetaka na ningekuwa mkuu wa hizo levo.
Kuna kujana wa kimasai aliwafukuza fisi wanne waliokuwa wamemkwapua mtoto mpaka akafanikiwa kumuokoa mtoto akiwa hai, na fisi mmoja akamuua. Hao ndio wajeshi.
Hao elites wachache unawachukua from private sector with live/ vividly exhibitions.
Mfano: cybercrime kuna natural talented vijana itisha local competitions utawakuta wengi

Una maana Majaliwa huyu huyu aliyepungiana mikono na marubani wakiwa hai zaidi ya dak 5 submerged kwenye maji?
 
Graduates vilaza wa kazi gani kwenye majeshi...
Majeshi yanaitaki majasiri asilia...mfano akina majaliwa & co,
Vijana 10 wa mwanzo kuifikia ile ndege woote ningewaingiza jeshi kama wangetaka na ningekuwa mkuu wa hizo levo.
Kuna kujana wa kimasai aliwafukuza fisi wanne waliokuwa wamemkwapua mtoto mpaka akafanikiwa kumuokoa mtoto akiwa hai, na fisi mmoja akamuua. Hao ndio wajeshi.
Hao elites wachache unawachukua from private sector with live/ vividly exhibitions.
Mfano: cybercrime kuna natural talented vijana itisha local competitions utawakuta wengi
Nimekusomaa ni kama vile unaona elimu haina maana tena!.

Tanzania ya sasa iwe ni mwendo wa kuitisha mashindano tu, washindi wapewe ajira.
 
Nimekusomaa ni kama vile unaona elimu haina maana tena!.

Tanzania ya sasa iwe ni mwendo wa kuitisha mashindano tu, washindi wapewe ajira.

No wonder kama nchi tupo hapa tulipo.

Mamburula nao wanaamini werevu ndiyo wao.

Ajabu na kweli wasomi nao wako kimya.
 
Back
Top Bottom