Graduates hawa hawa wenye UWEZO MDOGO wa AKILI hata lugha ya KIINGEREZA HAWAJUI ?View attachment 2427593View attachment 2427596
Graduates vilaza wa kazi gani kwenye majeshi...
Majeshi yanaitaki majasiri asilia...mfano akina majaliwa & co,
Vijana 10 wa mwanzo kuifikia ile ndege woote ningewaingiza jeshi kama wangetaka na ningekuwa mkuu wa hizo levo.
Kuna kujana wa kimasai aliwafukuza fisi wanne waliokuwa wamemkwapua mtoto mpaka akafanikiwa kumuokoa mtoto akiwa hai, na fisi mmoja akamuua. Hao ndio wajeshi.
Hao elites wachache unawachukua from private sector with live/ vividly exhibitions.
Mfano: cybercrime kuna natural talented vijana itisha local competitions utawakuta wengi
Nimekusomaa ni kama vile unaona elimu haina maana tena!.Graduates vilaza wa kazi gani kwenye majeshi...
Majeshi yanaitaki majasiri asilia...mfano akina majaliwa & co,
Vijana 10 wa mwanzo kuifikia ile ndege woote ningewaingiza jeshi kama wangetaka na ningekuwa mkuu wa hizo levo.
Kuna kujana wa kimasai aliwafukuza fisi wanne waliokuwa wamemkwapua mtoto mpaka akafanikiwa kumuokoa mtoto akiwa hai, na fisi mmoja akamuua. Hao ndio wajeshi.
Hao elites wachache unawachukua from private sector with live/ vividly exhibitions.
Mfano: cybercrime kuna natural talented vijana itisha local competitions utawakuta wengi
Nimekusomaa ni kama vile unaona elimu haina maana tena!.
Tanzania ya sasa iwe ni mwendo wa kuitisha mashindano tu, washindi wapewe ajira.
[emoji2][emoji2][emoji2]Nawaona Suma JKT wanaingia kwenye uzi kapambana