Wenzetu wenye uelewa ipi mantiki ya kufunga kidini wakristo na Waislam?

Wenzetu wenye uelewa ipi mantiki ya kufunga kidini wakristo na Waislam?

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Kwanza naamini katika uwepo wa mungu na Kila jumapili nashiriki misa takatifu ya pili katika kanisa katoriki la karibu yangu.

Pengine katika ukuaji wangu yawezekana nilikosa elimu juu ya ufungaji na faida zake. better late than never naomba elimu juu ya ufungaji na faida zake.
 
Kwa wakristo ni njia ya kumnyenyekea mungu, "kumkumbusha" wanasema.

Unautesa mwili ili kumuonesha yeye ndo kipaumbele kwako.
 
Ni kutengeneza / Mazungumzo au kutoa nafasi then moja ya roho Safi au chafu Ije kujaza hiyo nafasi na ukienda umeyabeba machungu jua utajaa wachafu.

Wanaita kwenda Mlimani na wengi hurudi na Mapepo badala ya majibu.
 
Ni kutengeneza / Mazungumzo au kutoa nafasi then moja ya roho Safi au chafu Ije kujaza hiyo nafasi na ukienda umeyabeba machungu jua utajaa wachafu.

Wanaita kwenda Mlimani na wengi hurudi na Mapepo badala ya majibu.
Dharau.
 
Kwa wakristo ni njia ya kumnyenyekea mungu, "kumkumbusha" wanasema.

Unautesa mwili ili kumuonesha yeye ndo kipaumbele kwako.
Akinyenyekewa Na Kiumbe Ambacho Anakijua Kabla Hata Hakijazaliwa Na Kuujua Mwisho Wake pia Anapata Faida Gani?Mungu Anakumbushwa Tena??
 
Ukiachana na sababu za kidini kufunga kiujumla sio kula tu bali kufunga vitu vyote vinavyokupa furaha ya muda kuna faida kubwa sana hasa kwa wale wenye ukomavu wa juu wa upeo/ufahamu/uelewa.

Ukiingia ndani sana/za ndani sana kufunga ni sawasawa na kuu-factory reset mwili ili uanze upya katika hali yake ya kawaida iliyotakiwa iwe, kuanzia mabadiliko ya tabia(mental perception) , utendaji kazi wa mwili-kikemikali na kibiolojia (physiological), ((DETOXIFICATION))


Kumbuka uhalisia wa mazingira sio halisi bali ule uhalisia unaouona ni unatengenezwa na miili yetu (yaani ubongo) mfano unapoona kitu kitamu au kichungu ni ubongo ndio una tafsiri ile radha, hii inamaana uki-deal na mwili wako vizuri, utabadirisha mitazamo na namna ya ku deal na mambo tofauti tofauti.

Kufunga ni sawasawa na ku jailbreak mfumo mbaya uliouzoea (uraibu na tabia nyingine za ajabu) na kurudi katika mfumo wako wa awali kipindi unazaliwa.

Kiufupi ukifunga unaenda ku-clear ile brain reward system (Dopamine Fasting) vitu vyote ulivyo kua umevizoea na vimeanza kukutawala uraibu (addiction) kwa kipindi cha kuanzia siku 21 hadi 40 kumbukumbu yake katika ubongo zinafutika.

Itategemea na aina ya uraibu na umekua sugu kwa kiwango gani kuna wengine inabidi wafunge siku 40 hadi 70, na kuifikia mfungo wa siku hizo bila kufanya starehe kubwa sometimes usiingie hata kwenye social media (kitu chochote kinachofanya Dopamine hormone itumike kupita kawaida),

Utaona mabadiliko na utakua na uwezo mkubwa wa kubadili mtindo wa maisha(lifestyle) kama tu ule wa mwazo ulikua unakugharimu.

Kipindi cha feasting mwili najira inafikia hatua kiwango cha sumu mwilini kinapungua (accumulated toxic substances kupitia vyakula na vinywaji/vivuto hali inayopelekea hata antenna ya mwili kiwa safi na kuweza kudaka mawimbi kutoka ulimwengu mwingine(kiroho).
 
Back
Top Bottom