na hii sala ni wakati gani?
kabla hujamgusa mwenzio?
au mnavua nguo ndo mnaanza sala?
au mnasali sebuleni?
mbona inafanya zoezi zima kuwa so predictable and boring?
boss sala hii achilia ile unayosali na wanao sebuleni, hii mnasali mkiwa in bed tayari kuanza kupeana raha, kama vile ambavyo mezani mnasali kwanza ndipo manakula kisha mnaaza kurukiana. mkimaliza mmetosheka mnasali mnalala. kabla ya kuamka mnarudiana tena cha mwisho ili kumfukuza shetani.na hii sala ni wakati gani?
kabla hujamgusa mwenzio?Reply With Quote
au mnavua nguo ndo mnaanza sala?
au mnasali sebuleni?
mbona inafanya zoezi zima kuwa so predictable and boring?
Wale mnaomalizia sebuleni, jikoni ama bafuni mtaulizia sala ni at which stage....
Hehehe, The Boss, inaelekea unamaanisha sala ni kwa missionary position tu eeh?
boss sala hii achilia ile unayosali na wanao sebuleni, hii mnasali mkiwa in bed tayari kuanza kupeana raha, kama vile ambavyo mezani mnasali kwanza ndipo manakula kisha mnaaza kurukiana. mkimaliza mmetosheka mnasali mnalala. kabla ya kuamka mnarudiana tena cha mwisho ili kumfukuza shetani.
Utamu ukishanoga utakumbuka hata kusali kweli...sidhani hata mapadri/masheikh waliomo kwenye ndoa kama huwa wanasali ili kubariki shughuli hii muhimu
Wale mnaomalizia sebuleni, jikoni ama bafuni mtaulizia sala ni at which stage....
Hehehe, The Boss, inaelekea unamaanisha sala ni kwa missionary position tu eeh?
Gfsonwin (na jina lako gumu ww sijui saa Mungu anakubariki huwa halikosei kulitamka akaishia kupata undelivered/error msg!), hili suala la kuomba kabla ya tendo la ndoa nililisoma kwenye Bible ile yenye 5 extra books (naiita ya kikatoliki?). Iliwahi kumuokoa kijana asiuwawe na mapepo.
On a serious note ni kitu muhimu cha kufanya, sawa na kabla ya kula chakula.
sex haina muda maalum wala mipango miingi kabla
mnaweza sex asubuhi bafuni
au jikoni
au kwenye gari na kadhalika
sasa sala inakuja vipi?
nikaribishe kanisani kwenu unifundishe basi lol
jamani am very serious as a christian kila mnapotaka kufanya yawapasa kusali, na pia mmalizapo. iko hivi Mungu katika biblia 1kor7:1-6 ameruhusu minimum ya mabao mawili mnasali kwanza kisha mnapiga game. mkimaliza mnashukuru na kumkemea shetani. baadae mnarudia tena shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu. kumbuka kuwa katika kusali mnaharibu mipango mini ya ibilisi juu ya endo lenyewe na juu ya nyumba yenu kwa ujumla.
nimefikir kuwa yawezekana tungekuwa kila mtu anasali kama ilivyoagizwa basi shetani asinge tujaribu kwa kutokuwa na kiasi kwetu hadi kutoka nje ya ndoa.
boss najua kweli wengine ni mpaka wanywe ndio wanaweza kucheza ila nikuulize hivi wewe ukisha kunywa wakati wa kula chakula huwa unasalli? au utasema nimekunywa hivyo sioni sababu ya kuombea chakula?wewe weka shule ya 'sala na maombi hapa'
shule ya mchezo tuachie tu
wengine hawapandi mchezoni bila wine au beer kwanza
sasa sijui utawaambia waombe kitu gani?
kuomba yes, ila amani inakua tafu kwenye mikunjo ya aina fulani na pale ambapo mikono inasafiri kuliko JK, kimoyomoyo unajihisi dah ......... sir godi anapigia chabo huu mkiono wa kushoto, au dah, hivi mungu alibariki chumvi kwa mtindo huu kwa swab kweli??!!!Ni usiku mnene kama kawaida wengi wenye wenzi mmelala kupeana joto. Mimi nieona nimwache wa moyoni kidogo nije niwaulize maswali yafuatayo katika mapenzi.
je umeewahi hata siku moja kuomba ama kusali kabla na baada ya kufanya tendo la ndoa? kama ndiyo waionaje amani na raha uipatayo kwa kuliombea tendo hilo na kama hapana unaonaje karaha uzipatazo kwa kutokumtanguliza Mungu wakati wa hilo tendo?
BAK hebu tuondoe maneno ya kurukiana tueke maneno mazuri labda ili kufikisha ujumbe kusudiwa. nikuulize swali?Haya bana gfsonwin lakini kwa mwendo ule wa kurukiana ππ popote pale iwe ni chumbani au kwingineko basi utekeleziji wa hili ni mgumu sana. Wanaweza kuwepo wanaosali kabla ya kurukiana ππ lakini percentage yao itakuwa ni ndogo sana.
BAK hebu tuondoe maneno ya kurukiana tueke maneno mazuri labda ili kufikisha ujumbe kusudiwa. nikuulize swali?
wewe na mkeo mnapotaka kula kwani ni mara zote mwalia chakula mezani? je popote pale unapoletewa menu huwa unaiombea au waila tu?
kuomba yes, ila amani inakua tafu kwenye mikunjo ya aina fulani na pale ambapo mikono inasafiri kuliko JK, kimoyomoyo unajihisi dah ......... sir godi anapigia chabo huu mkiono wa kushoto, au dah, hivi mungu alibariki chumvi kwa mtindo huu kwa swab kweli??!!!
Heee!Kumbe hii imoeee,hebu niambie,unasalije vile?Ee Muumba nijalie nimchabange wife bao za kutosha. . . . .Nimejaribu tu haya mambo mi siyajui hebu nijuzeni!
Hahahahaha lol!