Wenzi mwalifamu hili?!

Mi siku zote nasali sala zilizoko kwenye vitabu vyangu vya sala, kama vili misale, mawaridi ya sala, chuo kidogo cha sala nk. gfsonwin naomba uniandikie hapa sala kabla ya tendo la ndoa, au nielekeze kitabu ilipo nikaisome...
 

Amina.
Nimeshazinakili....
 
Bishanga, nadhani unaanza hivi . .

Ee baba, ninaomba sukari ya TS iwe zaidi ya ile ya Mchele Ltd, na kiuno chake kiwe na grisi nyingi. Naomba unisaidie asinitengue kiuno kama Erotica.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…