Wenzio wanakula Raha duniani wanaenda motoni, wewe unakula shida duniani unaenda motoni

Wenzio wanakula Raha duniani wanaenda motoni, wewe unakula shida duniani unaenda motoni

Dr wa Kaliua

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2020
Posts
1,634
Reaction score
3,833
Yaani unakuta mtu ni masikini sana. Anaogopa sana ushirikina ila ni mzinzi, anakufa anaenda motoni.

Mtu mshirikina mzuri tu, anapesa ndefu tu mzinzi mzuri tu, anakufa anaenda motoni.

Fanya hivi, tafuta pesa Kwa Kila njia haramu na halali, hakuna aliewai kufa akarudi kutoa shuhuda, kula Raha duniani.

Matusi ruhusa
 
Yaani unakuta mtu ni masikini sana. Anaogopa sana ushirikina ila ni mzinzi, anakufa anaenda motoni.

Mtu mshirikina mzuri tu, anapesa ndefu tu mzinzi mzuri tu, anakufa anaenda motoni.

Fanya hivi, tafuta pesa Kwa Kila njia haramu na halali, hakuna aliewai kufa akarudi kutoa shuhuda, kula Raha duniani.

Matusi ruhusa
Naona uchawi umekukolea Umeanza kuropoka sasa.... jitahidi tu usiropoke jina la aliyekupea
 
Yaani unakuta mtu ni masikini sana. Anaogopa sana ushirikina ila ni mzinzi, anakufa anaenda motoni.

Mtu mshirikina mzuri tu, anapesa ndefu tu mzinzi mzuri tu, anakufa anaenda motoni.

Fanya hivi, tafuta pesa Kwa Kila njia haramu na halali, hakuna aliewai kufa akarudi kutoa shuhuda, kula Raha duniani.

Matusi ruhusa
Ustaarabu ni kitu ambacho tulijitungia wenyewe tu kama wanadamu ili dunia iwe sehemu salama.
Asili ya wanadamu ni wanyama kama wanyama wengine tu.

Hatupo hapa duniani kujaribiwa ama kusubiri kuinuliwa.

No one is watching you.
Ila serikali pekee ndizo zinasimamia haki

Habari ya motoni ni hadithi.
UKIFA HAKUNA MOTO, huwezi ukakiumiza kilichokufa, sense zinakuwa hazifunction.
 
Yaani unakuta mtu ni masikini sana. Anaogopa sana ushirikina ila ni mzinzi, anakufa anaenda motoni.

Mtu mshirikina mzuri tu, anapesa ndefu tu mzinzi mzuri tu, anakufa anaenda motoni.

Fanya hivi, tafuta pesa Kwa Kila njia haramu na halali, hakuna aliewai kufa akarudi kutoa shuhuda, kula Raha duniani.

Matusi ruhusa
“Kupanga ni kuchagua”
 
Back
Top Bottom